joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mimi huko Mazembe nacheza namba ngapiKalpana OKW BOBAN SUNZU Ghazwat Bill Mtoto halali na hela Kambi ya Fisi Shunie Makiwendo Hello kwa Mkapa hatoki mtu...
TP Mazembe ni wazembe...
Lazima tuiheshimu yanga,TP Mazembe ni wazuri mno,lakini walifanya kosa kutowaheshimu yanga na wamepata wasichokidhania.Hii sio Mazembe
Ni kikundi cha wanamuziki wa Kikongo.
Michyeosseo[emoji35]Aigoooo aiyoooooo ahjussii ntakumegea ka buku jero toka kwenye mil 10 yetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
anajulia wapi hiloBingwa wa Africa wa msimu upi? Msimu uliopita bingwa alikuwa Wydad Casablanca na wala hakuwa Raja.
Nilisema kabla nawakumbusha tena...Bao ni 2-1 wakikoswakoswa basi ni 3-1
Young African WIN
Achana nao hao wafuasi wa Mfalme Zumaridi MO. Hao ni makerubi wa Zumaridi MOUnateseka ukiwa katika mkao gani Makolokolo?
Mmeanza lini?
Hii ndio shida yenu makolo hamtaki kukubali ukweliSimba wabovu ila Mazembe wabovu zaidi.
Najua ukweli unauma inabidi uvumilie tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unateseka ukiwa katika mkao gani Makolokolo?
Ndio na wale wengine wengine wale. Teh tehNani?
OKW BOBAN SUNZU ?