joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hii nidhamu anayo itengeneza Nabi kwamba hamna mchezaji mkubwa zaidi ya club ni nzuri sana Mudathir nilikuwa na wasiwasi nae ila leo yupo vizuri sana.
NB:Tupate wadhamini makolo endeleeni na uchambuzi wa Feisal na Sportpesa tukisubiria kipindi cha pili.
NB:Tupate wadhamini makolo endeleeni na uchambuzi wa Feisal na Sportpesa tukisubiria kipindi cha pili.