Ndugu yangu huku sisi hatufagiliagi hizi habari,shangilia ushindi kwa Amani,Uwanjani hamna chadema wala Cuf,huku hakunaga itikadi za siasa hata kidogo.Acha kuuingiza ukoo wako kwenye aibu ndogo ndogo.
 
Tumbafu zako
 
Kwa hiyo alipangua?acha utani naye ni boya
Kwako ni boya ila kwa Yanga ni dhahabu kubwa sana kwasababu amesaidia timu zaidi kuliko maelezo. Kwahiyo baki na mtazamo wako kwasababu uboya wake haukusaidii kitu na uimara wake haukusaidii kitu ila kwa mashabiki wa Yanga ndio wenye uwezo wa kunufaika au kutonufaika na kiwango chake. Pole kwa maumivu
 
Kwanza muukize wameshaanza kwenda mbele au bado wanarudi kinyume nyume tu!!
 
Na namba ya simu ukaweka ili ukumbukwe kwa mapambio uliowasilisha. Unajiabisha aisee
 
Hizi porojo peleka kwenye jukwaa la siasa.
 
Hawa vibwengo watasumbua sana na majezi yao ya kichawi...🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…