FT: Young Africans 3-1 TP Mazembe | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium | 19/02/2023
Kwaiyo mayele katoa pas ngap za wazi ambazo wenzie ndo wameshindwa kuzibadirisha kuwa magoli mpaka ya mwisho kisinda ndo kaibadirisha kuwa Goli acha ujinga kama mtu humpendi lakini anapofanya vyema msifie yovuti zote za uchambuzi na wachambuzi wlte wamempa mayele 10/10 kwenye game ya leo alafu wewe nani useme hana utulivu sijui mchoyo na wakati katoa clear passes zaidi ya 5 ulitaka afanyeje zaidi yani!!

[emoji3516][emoji115]Hilo hapo jibu lako Mzandiki mwenye PhD ya chuki binafsi wewe Kolowizard [emoji1787]
Jamaa mchawi uyu sio bure yaani tovuti zote za uchambuzi na wachambuzi wamempa Mayele 10/10 ya perfomance ya gemu ya leo alafu anatokea mwenda kinyume nyume mmoja anaropoka ropoka tu as if amekunywa sijui supu ya mbwa ati Mayele hana utulivu , sijui mayele ni mchoyo , sijui hajiamini asee kweli mchawi ni mchawi yaani

Kwa gemu ya leo Mayele ndo Man of the match siku ya leo anafata mpira , anadribble , anakimbia kwa kasi tena ya ajabu , anawafata mabeki na kuwapiga vyenga mara zaidi ya 8, anaingia kwenye 18 ya mpinzani , anatoa pasi kwa wenzie , anakaba kwa ustadi na kushirikiana na wenzie ,

Sasa uyo mchawi kolo wizard alitaka Mayele afanyeje yani

Mchawi ni mchawi tu fuc.......kn over ya heard

Chuki na uchawi wake akapeleke kwao kule

Wewe watu wazima na akili zao eti mganga anawashauri tembezeni gari kinyume nyume kutoka Bunju mpaka taifa na yao yalivyokuwa mambugila yanafata na kuendesha gari kweli kinyume nyume asee SIMBA HAWANA akiki kabisa labisa Simba ni timu inayotia aibu taifa la Tanzania!!
 
Wazee, mnyonge mnyongeni, ina maana leo hamjamwona NONDO MWAMNYETO au tunajitia tu upofu?


Nguvu [emoji736]

Mipira ya juu[emoji736]

Utulivu [emoji736]
Kwa upande wa Nondo, natanguliza "Samahani" kwake kwa kuchelewa kumsifia.

Nilikaa benchi moja na shabiki wa Kolo fc, uwezi amini nilimsikia akisema "Leo Mwamnyeto katulia utasema sio yeye" nilicheka na kumpa mkono jamaa.
 
Kinyume nyume
 

Attachments

  • 20230219_220033.jpg
    20230219_220033.jpg
    25.5 KB · Views: 2
Narudia rudia kuangalia magoli YANGA FC 3 Vs 1 TP MAZEMBE.

Kiukweli Makolokolo wameufyata kabisa hapa kibanda umiza.

Mara oooh goli la TP MAZEMBE ni zuri sana, walipoangalia la Kisinda lililowekwa kwenye post of 90 degrees ghafla wameduwaa kama Mazumbukuku [emoji16]
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ni kiongozi mwenye Baraka na kibali ,Ni kiongozi Ambaye kila anapogusa lazima pafanikiwe,lazima matokeo yawe chanya,lazima patowe matunda,lazima pawe na furaha na amani,kila atakalo litamka neno kutoka katika kinywa chake Ni lazima lifanikiwe, Ni lazima lipokelewe na watu,Ni lazima liteke hisia na kuungwa mkono na watanzania.

Siku chache zilizopita Rais Wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mzalendo na Sauti ya Afrika Rais Mama Samia Suluhu Hassan alitoa ahadi ya kununua kila goli litakalo fungwa na Timu zetu za Simba na Yanga kwa kiasi Cha shilingi milioni Tano dhidi ya wapinzani wao.

Leo Yanga Baada ya kukumbuka Sauti na ahadi ya Rais wetu na mama yetu shujaa wa Afrika na mtetezi wa waafrika wakaingia uwanjani kimapambano,kimkakati ,kizalendo,kishupavu,kiimara,kikomandoo,kijasusi na kwa kujitoa huku wakiisikia sauti ya mama yao mama Samia kiongozi wa wote ikiwapa hamasa mioyoni mwao,Hatimaye wakapambana kwa nguvu zao zote kwa jasho na machozi na kuisimamisha na kuiduaza Afrika na Dunia nzima kwa ujumla kwa namna walivyo tandaza kandanda la kiwango Cha kimataifa ambalo limeweka historia isiyofutika Barani Afrika na Tanzania.

Yanga wametufuta machozi kama Taifa,wametupatia heshima na kutuheshimisha,wametufutia aibu Kama Taifa,wameleta furaha na Tabasamu watanzania,wamewaponya wengi kwa kuwapatia furaha,wametuondolea Aibu Kama Taifa,wamefanya nchi iendeleee kutabasamu na kutawaliwa kwa vifijo na ndelemo,wamefanya Tanzania ya Rais Samia iendeleee kuteka anga la Afrika,wamefanya mitaa yote ilipuke kwa shangwe na kelele za furaha.

Wamefanya kila biashara ichangamke,vinywaji vinanunuliwa na watanzania huku mitaani bila kikomo, waliokosana wanapatana kutokana na kujawa na furaha.

Hakika ushindi wa yanga uliochagizwa na ahadi za mh Rais umeliunganisha Taifa na kumheshimisha mh Rais wetu mama Samia,wachezaji wamepambana na kupigana kikomandoo kulinda na kutetea heshima ya mh Rais,Sasa nyuso za watanzania zimejawa na furaha,mioyo ya watanzania Ni vicheko na furaha.

Hongera Sana Rais Samia kwa baraka zako kwa vijana wako,hakika umewasaidia Sana katika kuwapa hamasa wachezaji,wewe Ni mshindi Rais wetu katika mchezo wa leo,wewe Ni shujaa Rais wetu katika ushindi wa yanga, Ndio maana jumuiya ya Wanamichezo wote inakupenda Sana na kukuunga mkono.

Naamini Tanzania itaendeleaa kung'ara kimichezo kwa kuwa Rais wetu Ni mwana michezo na mpenda maendeleo ya michezo hapa nchini, palipo na mkono wa Rais Samia lazima uone mafanikio,palipo na neno la Rais Samia lazima uone Tabasamu katika nyuso za watanzania.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
 
Ndugu zangu watanzania,

Rais Samia Ni kiongozi mwenye Baraka na kibali ,Ni kiongozi Ambaye kila anapogusa lazima pafanikiwe,lazima matokeo yawe chanya,lazima patowe matunda,lazima pawe na furaha na amani,kila atakalo litamka neno kutoka katika kinywa chake Ni lazima lifanikiwe, Ni lazima lipokelewe na watu,Ni lazima liteke hisia na kuungwa mkono na watanzania.

Siku chache zilizopita Rais Wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania mzalendo na Sauti ya Afrika Rais Mama Samia Suluhu Hassan alitoa ahadi ya kununua kila goli litakalo fungwa na Timu zetu za Simba na Yanga kwa kiasi Cha shilingi milioni Tano dhidi ya wapinzani wao.

Leo Yanga Baada ya kukumbuka Sauti na ahadi ya Rais wetu na mama yetu shujaa wa Afrika na mtetezi wa waafrika wakaingia uwanjani kimapambano,kimkakati ,kizalendo,kishupavu,kiimara,kikomandoo,kijasusi na kwa kujitoa huku wakiisikia sauti ya mama yao mama Samia kiongozi wa wote ikiwapa hamasa mioyoni mwao,Hatimaye wakapambana kwa nguvu zao zote kwa jasho na machozi na kuisimamisha na kuiduaza Afrika na Dunia nzima kwa ujumla kwa namna walivyo tandaza kandanda la kiwango Cha kimataifa ambalo limeweka historia isiyofutika Barani Afrika na Tanzania.

Yanga wametufuta machozi kama Taifa,wametupatia heshima na kutuheshimisha,wametufutia aibu Kama Taifa,wameleta furaha na Tabasamu watanzania,wamewaponya wengi kwa kuwapatia furaha,wametuondolea Aibu Kama Taifa,wamefanya nchi iendeleee kutabasamu na kutawaliwa kwa vifijo na ndelemo,wamefanya Tanzania ya Rais Samia iendeleee kuteka anga la Afrika,wamefanya mitaa yote ilipuke kwa shangwe na kelele za furaha.

Wamefanya kila biashara ichangamke,vinywaji vinanunuliwa na watanzania huku mitaani bila kikomo, waliokosana wanapatana kutokana na kujawa na furaha.

Hakika ushindi wa yanga uliochagizwa na ahadi za mh Rais umeliunganisha Taifa na kumheshimisha mh Rais wetu mama Samia,wachezaji wamepambana na kupigana kikomandoo kulinda na kutetea heshima ya mh Rais,Sasa nyuso za watanzania zimejawa na furaha,mioyo ya watanzania Ni vicheko na furaha.

Hongera Sana Rais Samia kwa baraka zako kwa vijana wako,hakika umewasaidia Sana katika kuwapa hamasa wachezaji,wewe Ni mshindi Rais wetu katika mchezo wa leo,wewe Ni shujaa Rais wetu katika ushindi wa yanga, Ndio maana jumuiya ya Wanamichezo wote inakupenda Sana na kukuunga mkono.

Naamini Tanzania itaendeleaa kung'ara kimichezo kwa kuwa Rais wetu Ni mwana michezo na mpenda maendeleo ya michezo hapa nchini, palipo na mkono wa Rais Samia lazima uone mafanikio,palipo na neno la Rais Samia lazima uone Tabasamu katika nyuso za watanzania.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Subiri wapumbavu wenzako muendeleze upumbavu huu!

Mtaiponza Yanga na ujinga wenu wa Mambuzi
Wewe ni sawa na hiivkitu hapo
[emoji116]
FB_IMG_1676751228799.jpg

Tanzania imejaa wajinga wengi sana!

Kwa akili hii,sidhani hata kama unayo hata familia inayokutegemea!

Na kama ipo basi inapitia wakati mgumu sana!

Wewe ni janga la kizazi kipya!
 
Back
Top Bottom