FT: Young Africans 3-1 TP Mazembe | CAF Confederation Cup | Mkapa Stadium | 19/02/2023
Mayele uwezo umekuwa mdogo... & tamaa. Akae pembeni
Kwaiyo mayele katoa pas ngap za wazi ambazo wenzie ndo wameshindwa kuzibadirisha kuwa magoli mpaka ya mwisho kisinda ndo kaibadirisha kuwa Goli acha ujinga kama mtu humpendi lakini anapofanya vyema msifie yovuti zote za uchambuzi na wachambuzi wlte wamempa mayele 10/10 kwenye game ya leo alafu wewe nani useme hana utulivu sijui mchoyo na wakati katoa clear passes zaidi ya 5 ulitaka afanyeje zaidi yani!!

[emoji3516][emoji115]Hilo hapo jibu lako Mzandiki mwenye PhD ya chuki binafsi wewe Kolowizard [emoji1787]
 
Screenshot_20230219-213912~2.png
 
Back
Top Bottom