Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Kipofu kaona mweziYani mpaka Kisinda kafunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipofu kaona mweziYani mpaka Kisinda kafunga
Wamezidi kulia lia.. isogezwe ili iweje?? Wacheze tuApril mbali kesho kutwa wapo na Azam,wapo wanawatongoza TFF mechi isogezwe mbele Kwa kisingizion Cha kujiandaa na kimataifa
Huyu ni Aziz Kii mbona?
Sasa huu ndiyo unaitwa uungwana A.K.A Uzalendo.Kama jana.
Bora mmetusaidia kulipa kisasi kama taifa
Woyooooooooooooooooooo
Ihefu ya DRCYani mpaka Kisinda kafunga
Mwache awe nayo, ila kuanza ni must unless ana injuryMayele uwezo umekuwa mdogo... & tamaa. Akae pembeni
[emoji847]Tutaambia nini raiaaView attachment 2523299
Sina chuki na mayele ni maoni yangu kwa nilivyomuona kwenye mechi, hao wachambuzi ni maoni yao pia siyapingi.Kwaiyo mayele katoa pas ngap za wazi ambazo wenzie ndo wameshindwa kuzibadirisha kuwa magoli mpaka ya mwisho kisinda ndo kaibadirisha kuwa Goli acha ujinga kama mtu humpendi lakini anapofanya vyema msifie yovuti zote za uchambuzi na wachambuzi wlte wamempa mayele 10/10 kwenye game ya leo alafu wewe nani useme hana utulivu sijui mchoyo na wakati katoa clear passes zaidi ya 5 ulitaka afanyeje zaidi yani!!
Leta timu yako kama unaona Mazembe anaonewa.Ihefu ya DRC
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote.Kwaiyo mayele katoa pas ngap za wazi ambazo wenzie ndo wameshindwa kuzibadirisha kuwa magoli mpaka ya mwisho kisinda ndo kaibadirisha kuwa Goli acha ujinga kama mtu humpendi lakini anapofanya vyema msifie yovuti zote za uchambuzi na wachambuzi wlte wamempa mayele 10/10 kwenye game ya leo alafu wewe nani useme hana utulivu sijui mchoyo na wakati katoa clear passes zaidi ya 5 ulitaka afanyeje zaidi yani!!
💯Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote.
Leo Mayele kakichafua kinoma.
Kwahiyo hutaki?Yani mpaka Kisinda kafunga
Mpira utakua umeuangalia kwenye tv ya asili, sio bure.Mayele uwezo umekuwa mdogo... & tamaa. Akae pembeni