Twende kazi Wananchi. [emoji123]

Muwafute machozi wadogo zenu.
[emoji848][emoji848] yani mdogo mtu yuko kombe la wakubwa, halafu kaka mtu yuko kombe la watoto, huyu kaka mjinga kama ningekuwa nae nyumba moja ningefukuzilia mbali akaishi na wajinga wenzie utopoloni[emoji1787][emoji1787]
 
Leo Ngoja Tusubiri Kuona Wawakilishi Wengine. Watakuwa Utopolo ama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…