Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Aisee huuu ndio Mpira watu wanakula vyenga na magoli moya moya Kwa mstari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usajili wa dirisha dogo umelipa
😂😂😂😂😂😂😂Aigoooo aiyoooooo ahjussii ntakumegea ka buku jero toka kwenye mil 10 yetu😂😂😂😂😂
Kitesa kwa zamuKhaaa wanasimba shughuli tunayo aiseee
Tutatukwanaaaaa
wanaogopa kufa kama vipersHawa Mazembe hawawezi hata kusogea na pasi 3 mbele
Aigoooo aiyoooooo ahjussii ntakumegea ka buku jero toka kwenye mil 10 yetu😂😂😂😂😂
mpira wa leo ni mzuri sana kuliko wa janaTimu zote mbovu. Hii kweli ni shirikisho.
Sizitaki mbichi hiziTimu zote mbovu. Hii kweli ni shirikisho.
Bao bado ni 2-0 hayo mengine hayatuhusuHadi sasa mpira wanaocheza yangu ni mbovu na hizo gori zimeingia kwa sababu mazembe ni wabovu..
Simba jana ilicheza mpira mkubwa sana ila raja walikuwa bora sana na ni mafundi.
Hujui mpira wewe unafurahia magori..mpira wa leo ni mzuri sana kuliko wa jana