Qualtrics
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 272
- 388
Yote yanaweza kuwa majibuSijaamini jana ujue! Hivi Yanga imejengeka au ilikuwa ni ngekewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote yanaweza kuwa majibuSijaamini jana ujue! Hivi Yanga imejengeka au ilikuwa ni ngekewa?
😀😀😀 Acha kabisa Swahiba.Kushinda raha sana swahiba asikwambie mtu
Mdogo wangu ndo unaongea na simu ama? 😂😂😂Mbona mpo kwa loser sasa?
Mnasumbua sana khreee!!Mdogo wangu ndo unaongea na simu ama? 😂😂😂
Kwa hiyo Makolo hawajawahi kuifunga TP Mazembe?🤔Mbumbumbu ni wasahaurifu sanaView attachment 2523711
Mnasumbua sana khreee!!
Congo juzi wametoka chan sisi Tanzania tulichemkaIla mpira wa Congo bado sana, yaani wanafungwa hadi na Uto! Last time I checked niliona Congo ilifungwa goli 9-0 na nchi fulani inaitwa Yugoslavia kwenye kombe la duniia.
Kama washawahi naomba tuletee matokeo yalikuajeKwa hiyo Makolo hawajawahi kuifunga TP Mazembe?🤔
Jiji limenoga mpaka basi.
Baada ya kubwa jinga kulidhalilisha Taifa hapo jana, leo wananchi wametupa uhuru.
Mashabiki wote wa soccer hapa Tanzania tumepata uhuru.
Hongera ziwaendee wachezaji wote na benchi la ufundi kwa ujumla.
Walicheza bwana wewe wacha maneno ya khanga sheikhHongereni Uto
Kwa boli la Jana Ihefu ni Bora kuliko Mazembe Shadeeya
Leo Mazembe wanafananishwa na Ihefu?Hongereni Uto
Kwa boli la Jana Ihefu ni Bora kuliko Mazembe Shadeeya
Hata kwa fimbo...hizo ni furaha za muda mfupi tuu...
Tutakupa zawadi hamia tu 😅😅😅Hata kwa fimbo...hizo ni furaha za muda mfupi tuu...
Congo bado kwa Tanzania yetu au? Kumbuka walikuwa kwenye mtoano timu 10 za mwisho kuelekea kombe la dunia.Ila mpira wa Congo bado sana, yaani wanafungwa hadi na Uto! Last time I checked niliona Congo ilifungwa goli 9-0 na ka nchi fulani kanainaitwa Yugoslavia kwenye kombe la dunia.
Mtani mwenyewe mwenye ubora wake...jana sikutaka fujo nilikaa pembeni kwa sbb nilijua mtashinda tuu...I see it kwny maono..ila Tp Mezembe ni wazembe mnooooo..mpka wanafungwa na Tuisila khaaaKalpana OKW BOBAN SUNZU Ghazwat Bill Mtoto halali na hela Kambi ya Fisi Shunie Makiwendo Hello kwa Mkapa hatoki mtu...
TP Mazembe ni wazembe...
Chitakii chitakiiTutakupa zawadi hamia tu 😅😅😅