Tumefurahi vibaya mno(kwa sauti ya Ahmed Ali)๐คฃ๐ช๐ฎ๐๐๐ฎ ๐บ๐ถ๐ธ๐ฎ๐๐ฒ, ๐ท๐๐ถ๐ฐ๐ฒ, ๐บ๐ฎ๐ฎ๐ป๐ฑ๐ฎ๐๐ถ, ๐ถ๐ฐ๐ฒ ๐ฐ๐ฟ๐ฒ๐ฎ๐บ ๐๐๐บ๐ฒ๐ณ๐๐ฟ๐ฎ๐ต๐ถ ๐ฅณ๐ฅณ๐ฅณ๐ฅณ
UchawiHivi Simba tulishindwaje kuwafunga hawa vyura wa jangwani?
Asanteni watoto wa Bakhresa mmewabikiri uto
Kinachofuata hapo ni kupigwa tu mabao mechi zijazo
UchawiHivi Simba tulishindwaje kuwafunga hawa vyura wa jangwani?
Asanteni watoto wa Bakhresa mmewabikiri uto
Kinachofuata hapo ni kupigwa tu mabao mechi zijazo
mwanetu, Yanga ni nyumbani, utakuja tu..!!Nyie ni panya buku tu ilikua suala la mda๐ค๐ค๐ค
Vipi ni kigugumizi cha kuandika ndio kimekupata?Hiyo ni dalili ya stroke.Chill ni mpira tu.Tufanye hatujafungwa kivipi na wakati Azam wameshinda mkuu?
Vipi ni kigugumizi cha kuandika ndio kimekupata?Hiyo ni dalili ya stroke.Chill ni mpira tu.Tufanye hatujafungwa kivipi na wakati Azam wameshinda mkuu?
Lakini Yonga hii unaifungaje mkuu?Tufanye hatujafungwa kivipi na wakati Azam wameshinda mkuu?
Lakini Yonga hii unaifungaje mkuu?Tufanye hatujafungwa kivipi na wakati Azam wameshinda mkuu?
hakuna mtu kaumizwa na tokeo lenu, acheni kujishtukia..Nyie mbona matokeo ya jana yaliwaumiza
acheni kujipa umuhimu kwenye team za wengine..Kwani nyie mlikuwa MASHUJAA jana?
Ihefu iko kwenye ligi gani?Au ulikuwa kwenye coma ndio umezinduka?Kuzoea yamezoeleka kwasababu ndio Uhalisia
Yanga ndio Bingwa hapa nchini, hili kuanzi Makolo mpaka Ihefu mnajua
Mimi ni yoooongaaaaInaonekana Yanga inawaumiza sana ninyi jamaa.
Your browser is not able to display this video.
Naona leo hadi meno yameonekana๐คฃ๐คฃ
Bro shida ni jf na hii changamoto yao inanifanya nshindwe kukoment ๐นERoni
Evelyn Salt bro!
Sijawazoea hivi...
Leo nyie waku'react na emoji za kicheko bila kuongea chochote๐
Bila shaka huko alipo Harmonize atakuwa ashajua namna Yanga inafungwaacheni kujipa umuhimu kwenye team za wengine..