FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

Kwa wazungu wakiona hii clip wanaweza kudhani huyu kibopa ana mwaga petrol kadhamiria kuchoma uwanja.

View attachment 3141703

Huku kwetu ndio tunaelewa kilichokuwa kinafanyika.

Mwamba anaipambania timu yake naye alikuwa anataka kuwa sehemu ya ushindi wa leo ila ndio hivyo.

Ila ndio hivyo isivyo bahati matokeo yamekuja ndivyo sivyo na lawama badala ya kwenda kwa mganga aliyewadanganya eti wanampa refa.
Kwani kavaa jezi ya yanga mkuu?
 
Yanga bado ni timu bora,kwa namna Azam ilivyo nilitarajia kama Yanga amepata kadi nyekundu basi Azam ifunge magoli mawili na zaidi.
Ila imeonekana kuwa bado ni wadogo sana kwa Yanga licha ya kushinda.
Pia Yanga mbele panaonekana bado hapapo sawa,wanakosa umakini licha ya kutengeneza nafasi nyingi.
Bado Yanga bingwa licha ya hili.
Pole
 
Yanga bado ni timu bora,kwa namna Azam ilivyo nilitarajia kama Yanga amepata kadi nyekundu basi Azam ifunge magoli mawili na zaidi.
Ila imeonekana kuwa bado ni wadogo sana kwa Yanga licha ya kushinda.
Pia Yanga mbele panaonekana bado hapapo sawa,wanakosa umakini licha ya kutengeneza nafasi nyingi.
Bado Yanga bingwa licha ya hili.
Pole
 
Kuna watu wana,maneno.Eti Yanga kadanganywa kwa Ice Cream akatolewa bikira.
 
Back
Top Bottom