FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

Tupunguze kujifariji kwa maneno mengi, Yanga Leo amepigwa na Azam.
Kufungwa ni sehemu ya mchezo, yaani wewe ulitegemea Yanga acheze mechi zote bila kufungwa?
Kufungwa kwa Yanga hakuondoi yeye ku twaa taji la 31.
Timu zinashindana ili kutwaa Mataji.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
images.jpg
 
Kufungwa ni sehemu ya mchezo, yaani wewe ulitegemea Yanga acheze mechi zote bila kufungwa?
Kufungwa kwa Yanga hakuondoi yeye ku twaa taji la 31.
Timu zinashindana ili kutwaa Mataji.
Si mlisema utopolo anaweza kucheza hata na real madrid
 
Kufungwa ni sehemu ya mchezo, yaani wewe ulitegemea Yanga acheze mechi zote bila kufungwa?
Kufungwa kwa Yanga hakuondoi yeye ku twaa taji la 31.
Timu zinashindana ili kutwaa Mataji.
Si mlisema utopolo anaweza kucheza hata na real madrid
 
Kufungwa ni sehemu ya mchezo, yaani wewe ulitegemea Yanga acheze mechi zote bila kufungwa?
Kufungwa kwa Yanga hakuondoi yeye ku twaa taji la 31.
Timu zinashindana ili kutwaa Mataji.
Mmeanza kupata akili.Bado hamjasema mtasema tu.
 
Na kweli walibeba mimba.Ali Kamwe si aliwaamuru wabebe na kweli wamebeba.
 
Si mlisema utopolo anaweza kucheza hata na real madrid
Ndugu mbumbumbu kucheza na Madrid isikushangaze ni jambo la kawaida katika soka inategemea mna cheza katika Hali Gani maana tuko ma bara tofauti.
 
Back
Top Bottom