FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

Kama ni hivyo, hata Simba ilifungwa na timu mbovu yanga kagoli kamoja tena kwa walishinda kwa 'Kayoko kupenda'.
Najua unaropoka hauongei.
Katizame statistics za mechi ya Simba na Yanga.
Yanga imeunda nafasi nyingi kuliko Simba,utaiitaje Yanga timu mbovu mbele ya Simba!?
We fala nini?
Msingecheza rafu basi isingepigwa faulo iliyozalisha goli.
Tathmini game hizo mbili kama zinafanana.
 
Najua unaropoka hauongei.
Katizame statistics za mechi ya Simba na Yanga.
Yanga imeunda nafasi nyingi kuliko Simba,utaiitaje Yanga timu mbovu mbele ya Simba!?
We fala nini?
Msingecheza rafu basi isingepigwa faulo iliyozalisha goli.
Tathmini game hizo mbili kama zinafanana.
Ile faulo ya mbeleko ndo wasema ilichezwa rafu???kweli leo utopwinyo mmepandisha majini
 

Najua unaropoka hauongei.
Katizame statistics za mechi ya Simba na Yanga.
Yanga imeunda nafasi nyingi kuliko Simba,utaiitaje Yanga timu mbovu mbele ya Simba!?
We fala nini?
Msingecheza rafu basi isingepigwa faulo iliyozalisha goli.
Tathmini game hizo mbili kama zinafanana.
FB_IMG_17305814719633163.jpg
 
Wavunja kuni hawa wanachojua kuikamia Yanga na kucheza rafu,hawa wajinga walituvunjia Pacome na Yao kabla kukutana na Mamelodi. Kuna huyu mpuuzi Sospeter Banyana anacheza rafu za kijinga sana.

Tunajua kukamia kunatokana na nini kwani leo tunacheza na timu mbili na ndio maana wanakuwaga wagumu ila wanaishiaga kupigwa.
Bajana ni Muha wa kigoma kasulu ana tabia za kiha na jana tumecheza na azama pamoja na simba lkn tutachukua tu ubingwa hata iweje.
 
Haoooooooo haooooooo haoooo ahahahhaahhaahhhaahahahahahahahhahahahaahhaahahaahjajahahahaha nyuma mwiko haoooooooo haooooooooooo
Haoooooooo
hata sikuogopi maana hauna madhara kwangu!
 
Acha kufananisha Man City na vitu vya kijinga. Tangu lini Yanga ikawa sawa na Man City? Tuwe serious.
Kama umesoma kwa uelewa basi umenielewa.
Nimezungumzia performance,kama Mancity inavyo perform EPL ndivyo Yanga inavyo perform TPL.
 
Najua unaropoka hauongei.
Katizame statistics za mechi ya Simba na Yanga.
Yanga imeunda nafasi nyingi kuliko Simba,utaiitaje Yanga timu mbovu mbele ya Simba!?
We fala nini?
Msingecheza rafu basi isingepigwa faulo iliyozalisha goli.
Tathmini game hizo mbili kama zinafanana.

Faulo ya kupewa na refa na goli la kujifunga. Yanga timu mbovu tu.
 
Kama umesoma kwa uelewa basi umenielewa.
Nimezungumzia performance,kama Mancity inavyo perform EPL ndivyo Yanga inavyo perform TPL.

Oooh! Hapo nimekuelewa mkuu. Kwamba Man City ndio bingwa mfululizo UK na Yanga ndio bingwa mfululizo Tanzania. Hapo nakubaliana na wewe.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu) View attachment 3141395
WENYE AKILI WAPO WAWILI
VINYESI FC
WAPIGWA SITA 6 BILA
MALALAMIKO FC
KIDIMBWI FC
 
Najua unaropoka hauongei.
Katizame statistics za mechi ya Simba na Yanga.
Yanga imeunda nafasi nyingi kuliko Simba,utaiitaje Yanga timu mbovu mbele ya Simba!?
We fala nini?
Msingecheza rafu basi isingepigwa faulo iliyozalisha goli.
Tathmini game hizo mbili kama zinafanana.
Wajawazito fc hamkosi sababu
Muda wenu wa kujifungua utafika tu
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-1769471325.jpeg

WENYE AKILI WAPO WAWILI
VINYESI FC
WAPIGWA SITA 6 BILA
MALALAMIKO FC
KIDIMBWI FC
 
Back
Top Bottom