FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

Wana timu basi?kikundi cha wahuni wanapiga tu mabuti,leo walipata kizunguzungu wale wazee,mpira ukipigwa mtu anaona inakuja miwili anakaba hewa mpira halisi unapita
Halafu wanapenda kulialia sana! Hawana nidhamu na wana dharau sana.

Mfano yule Aucho na Boka na Aziz Ki. Wanahisi refa hawezi kuwafanya chochote. Wanajihisi wako juu kuliko uhalisia.
 
Halafu wanapenda kulialia sana! Hawana nidhamu na wana dharau sana.

Mfano yule Aucho na Bocca. Wanahisi refa hawezi kuwafanya chochote. Wanajihisi wako juu kuliko uhalisia.
Hawa jamaa hawajakutana na marefa serious,kungekuwa na marefa wenye msimamo kama Arajiga wasingekuwa hapo walipo kwenye msimamo,Mudhathir,Aucho,Baka,na Job sikuzote wanafanya fouls mbovu wanaachwa tu,kila mechi Mudhathir na Aucho wanacheza rafu wanaachwa. Wachezaji wengi wa Yanga walishaona wapo juu ya marefa hata Aziz K pia hana nidhamu.
 
⚽️ Young Africans SC🆚Azam FC
📆 02.11.2024
🏟 Azam Complex
🕖 12:00 Jioni
View attachment 3141026

Kikosi kinachoanza dhidi ya Azam FC
View attachment 3141586
Mpira umeanza
Dakika ya 3
Yanga SC wanashambulia kwa kasi

Dakika ya 5
Dube anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 14
Max anafanyiwa madhambi

Dakika ya 17
Aziz k anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 21
Baka kapewa nyekundu

Dakika ya 30
Yng 0-0 Azm

Dakika ya 31
Azam wanapata goli

Dakika ya 42
Max anakosa goli la wazi

Dakika ya 45+2
HT

Dakika ya 52
Aziz k anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 58
Yanga wanafanya mashambulizi

Dakika 71
Anatoka Aziz k anaingia pacome


Dakika ya 87
Feisal kafanyiwa madhambi

Dakika ya 90+7
FT
Tusingekuwa pungufu tusingefungwa
20241102_233708.jpg
 
Sawa kaka ndio mpira sijakataa kuna kufunga,kufungwa ama kusare.
Hata Arsenal amefungwa na timu mbovu new castle kwa kumuotea kigoli kimoja.
Ila hao Azam si tutarudiana nao!?
Ndio nitakwambia kwanini nilisema leo wameshinda kwa 'Mungu kapenda'.
Kama ni hivyo, hata Simba ilifungwa na timu mbovu yanga kagoli kamoja tena kwa walishinda kwa 'Kayoko kupenda'.
 
Back
Top Bottom