mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Ama kweli mwisho WA ubaya huwa ni AIBU🤣Tamko lilitolewa mapema
View attachment 3141811
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ama kweli mwisho WA ubaya huwa ni AIBU🤣Tamko lilitolewa mapema
View attachment 3141811
YangaNani kashinda?
Hapo sasa.
Wale hata red card leo walikuwa wanapigwaLeo mageti waliachiwa wao wawange mchana kweupe.Dawa ilishatayarishwa uwanjani.
😀😃Huu uzi wa moto leo, wanywa supu wamekufa kibudu
Hata kama hajapata goli sisi wapenda soka uwezo wake tumeuona,kacheza soka safi leo kwa utulivuFeitoto hajapata goli?
Wazee walikuwa wanakimbizwa wanatembelea mikono😀😃
Lakini mkuu wewe 3 kwenye ligi 😀😃Wazee walikuwa wanakimbizwa wanatembelea mikono
Hata kama ningekuwa wa mwisho kwa Yanga hii hamna hamna kituLakini mkuu wewe 3 kwenye ligi 😀😃
Usiseme hivyo haumuwezi huyo kakupiga mara 4Hata kama ningekuwa wa mwisho kwa Yanga hii hamna hamna kitu
Wanaliwa Supu wao kesho.Huu uzi wa moto leo, wanywa supu wamekufa kibudu
kmmake🤣Huu uzi wa moto leo, wanywa supu wamekufa kibudu
Wana timu basi?kikundi cha wahuni wanapiga tu mabuti,leo walipata kizunguzungu wale wazee,mpira ukipigwa mtu anaona inakuja miwili anakaba hewa mpira halisi unapitaPigaaaa hao mbwa koko....huku mtaani ni shangwee...
Tutakesha nao,hamna timu pale kuna wacheza judokmmake🤣
Alikwepo kapiga off target moja,siyo haba kwa hii yanga mbovuDube kacheza leo?
Mahaba hata mtangazaji alikuwa nayo. Sasa sijui hajui mpira au?Tupunguze kujifariji kwa maneno mengi, Yanga Leo amepigwa na Azam.