venossah
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 2,583
- 3,684
Relax mkuu...unachanganyikiwaHii Yanga kuifunga inabidi wawe Pungufu tu, tofauti na Hapo ni kichapo tu
Post moja mara 4.....kunywa maji ukalale ndo ishakuwa voo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Relax mkuu...unachanganyikiwaHii Yanga kuifunga inabidi wawe Pungufu tu, tofauti na Hapo ni kichapo tu
Lakini wameshindaTimu haiwezi hata kupiga pasi, hawa azam hovyo
Kuzoea yamezoeleka kwasababu ndio UhalisiaMaandishi haya si mageni jijini....labda kwa mgeni jijini, ila kwa wenyeji wa Jiji ni maandishi tuliyoyazoea😄
Ipo EPLIhefu iko kwenye ligi gani?Au ulikuwa kwenye coma ndio umezinduka?
Sasa mbona Simba nae alifungwa tena mara nne mfululizo na hadhaminiwi na GSM?Duuh kwamba haumjui mdhamini wa simba au
Usimkosee Mzamiru wetuAziz ki ni Mzamiru aliyechangamka
Ubao unasomaje?Wapewe kwa hisani ile ile
Chomoa taratibu huo mwiko huko nyuma utaumiaaaKuna Mbumbumbu moja nilikaa nayo muda wote inapiga kelele hawajazoea kufungwa hao. Ukimuuliza nyie mmezoea anajibu utajua wewe.
Hii wanaweza wakaongeza kwenye mafanikio ya msimu pamoja na kile kibegi.
Mtumbwi wa vibwengoBasi hongera ila aliyepigwa bado ni bingwa wa msimu huu ,licha ya simba kushangilia kama ndio washindi wa mechi ya leo,furaha kama zote.Hongereni.
Ili Yanga ipoteze mechi kwanza wawe pungufu na mpinzani awe ana paki basi uku akijiangusha muda wote wa mchezo Sasa kwanini tusiseme Yanga Bingwa.
Mpaka Yanga kuja Tena kudondosha Tena point ni mpaka mwaka mwingine mwezi kama huu.