FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

Ni makosa sawa lakini sio red card ile!
Alizuia goli

Ni sawa na mtu ambaye akaudaka mpira kwa makusudi kwenye shuti ambalo lilikuwa linaenda kufunga goli.

Mpe goodbye na good riddance Baka
 
Kwahio mnategemea azam atashinda mimi bora niangalie hata singida FG kuliko mechi za yanga kwakua unajua tu wameshinda kabla hata mechi haijaanza wao ndio hua waamuzi wanakosea na wao ndio waamuzi huwapa point no surprise hapa
Haya watashinda
 
Alizuia goli

Ni sawa na mtu ambaye akaudaka mpira kwa makusudi kwenye shuti ambalo lilikuwa linaenda kufunga goli.

Mpe goodbye na good riddance Baka
Bora angeacha wafungwe kuliko red card
 
siku ya nyani kufa miti yote huteleza, ngoja tuone leo

Bacca kala umeme, Aucho asipojiangalia na yeyey analambishwa nyekundu

Kama Yanga wakishinda au ku draw hii game wapewe maua yao
 
Wanamchezea faulo Feisal walipewa kadi wasimlaumu refa
 
Wanamchezea faulo Feisal walipewa kadi wasimlaumu refa
 
We Arajiga wangekua Yanga ungewanyima penati?
 
Naona makolo wanapigapiga tu mpira bila formation yoyote. Kushinda kwao hii game kutatokana na refa tu.
Kila mtu anaona.
 
Back
Top Bottom