Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Jibril Silah
Utepe ushakatwa huko
mpira si vita , tuliza jazbaMnaoshangilia redcard wote **** zenu
Hakuwa mchezaji wa mwisho sipingi ila baka angemuacha alipokuwepo boka asingeweza kumfikia hivyo nadhani refa akatafsiri kuwa kazuia mchezaji aliyekuwa kabaki na kipa.Kaka hujaona hata marudio ya move na mtangazi akaongea?
Okay vipi ile ya Dube na nyie nyie.
Kikosi kipana umesahau?Tayari pengo la Baka limeshaanza kututafuna, WTF!
Hihihihiiii nafungua kilinge.......Azam watatangulia kupata goli, fei atakata viuno kwa furaha......kitakachofatia sasa Yanga itaibuka na kufunga goli moja atachukua azam moja watachukua simba.
Yanga haichezagi na timu moja
kila laheri chama la ushindi 💚💛💚💛
Ndio uzuri wa mpira, unataka ufurahi wewe kila siku ****** zako.Mnaoshangilia redcard wote **** zenu
Ndio uzuri wa mpira, unataka ufurahi wewe kila siku ****** zako.Mnaoshangilia redcard wote **** zenu
Ok mkuu, ngoja ninyamaze.Yani chambua uwezavyo ukiwa wa simba tu, hakuna kitu utakua umekosea🤣
Daah haya endelea kushindana na kamera.....?Hakuwa mchezaji wa mwisho sipingi ila baka angemuacha alipokuwepo boka asingeweza kumfikia hivyo nadhani refa akatafsiri kuwa kazuia mchezaji aliyekuwa kabaki na kipa.