FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

FT: Young Africans SC 0 - 1 Azam FC | NBC Premier League | Azam Complex |02.11.2024

Mkuu, sijakataa kuwa hakuwa mchezaji wa mwisho. Boka alikuwepo ila alikuwa mbali kuweza kumfikia.
Mchezaji wa mwisho wana angalia line.........
Ukichora line hakuwa wa mwisho.

Ila swali langu la Dube unaliruka.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Yanga badala ya kupaki basi wazuie wao wanaleta ubishi wanataka wapishane
 
Mkuu, sijakataa kuwa hakuwa mchezaji wa mwisho. Boka alikuwepo ila alikuwa mbali kuweza kumfikia.
Mchezaji wa mwisho wana angalia line.........
Ukichora line hakuwa wa mwisho.

Ila swali langu la Dube unaliruka.
 
Mchezaji wa mwisho wana angalia line.........
Ukichora line hakuwa wa mwisho.

Ila swali langu la Dube unaliruka.
Dube kwenye mechi ipi? Ilishapita. Tupo kwenye mechi hii. Anyway, ishatokea haina maana tena, mpo pungufu. Tulieni chezeni mpira.
 
20241102_184139.jpg
 
Kuna timu inapelekewa moto kocha upara unawaka moto🤣🤣🤣🐸🐸🐸🏃🏃🏃🏃

UBUNTU BOTHO
 
Back
Top Bottom