Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio aliemwaga maji milangoni ni yupi kwani?Vyura wamepakatwa na waume zao
Sasa jana nyie mlikuwa mnalamika nini Mashujaa kupoteza mda? Mjue si waelewi mna unafiki mwingi, leo mmepongeza red card ya Bacca,ila ya Dube ukaniambia niachane nayo jana Mashujaa wamepoteza mda mkalalamika,leo nimesema Azam wanapoteza muda ww unaona sawa au kwa kuwa ni Yanga?Wanaotakiwa kupoteza muda ni wale wasioongoza?
Mkuu upo sawa? Embu relax.Sasa jana nyie mlikuwa mnalamika nini Mashujaa kupoteza mda? Mjue si waelewi mna unafiki mwingi, leo mmepongeza red card ya Bacca,ila ya Dube ukaniambia niachane nayo jana Mashujaa wamepoteza mda mkalalamika,leo nimesema Azam wanapoteza muda ww unaona sawa au kwa kuwa ni Yanga?
Maisha yanaenda kasi sana. Leo Mzinze anaoneklana ni bora kuliko Dube !Dube anaruka ruka uwanjani, ni maamuzi sahihi kumuingiza Mzize
Tunakumbushana au unataka tulete na comments zenu za jana.Mkuu upo sawa? Embu relax.