KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
sio kwamba hatuamini ni vile tu tumeshasahau kufungwafungwa!Yanga mashabiki
Kocha
Wachezaji
Wote ni short tempered.
Kweli hawa jamaa ni wachanga. Hawaamini kama kuna kufungwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kwamba hatuamini ni vile tu tumeshasahau kufungwafungwa!Yanga mashabiki
Kocha
Wachezaji
Wote ni short tempered.
Kweli hawa jamaa ni wachanga. Hawaamini kama kuna kufungwa.
Kama kwa Singida tu walishinda na bado Gamondi alirusha ngumi, leo waandishi wakae mbali naye, labda wampe wireless microphoneYanga mashabiki
Kocha
Wachezaji
Wote ni short tempered.
Kweli hawa jamaa ni wachanga. Hawaamini kama kuna kufungwa.
Nafuraha sanaaaaaaaaHivi Simba tulishindwaje kuwafunga hawa vyura wa jangwani?
Asanteni watoto wa Bakhresa mmewabikiri uto
Kinachofuata hapo ni kupigwa tu miti mechi zijazo
😃😀😀😃😃😃😃😃😃😃Yanga wamebikiriwa 😅😂😂😅😅😂😂😳😳😳
Nafuraha sanaaaaaaaaHivi Simba tulishindwaje kuwafunga hawa vyura wa jangwani?
Asanteni watoto wa Bakhresa mmewabikiri uto
Kinachofuata hapo ni kupigwa tu miti mechi zijazo
Nafuraha sanaaaaaaaaHivi Simba tulishindwaje kuwafunga hawa vyura wa jangwani?
Asanteni watoto wa Bakhresa mmewabikiri uto
Kinachofuata hapo ni kupigwa tu miti mechi zijazo
Jirani yangu hapa Msata Kilingeni kanuna mishavu imevimba kama paka shume😂Yanga mashabiki
Kocha
Wachezaji
Wote ni short tempered.
Kweli hawa jamaa ni wachanga. Hawaamini kama kuna kufungwa.
Tuko pamoja mzee baba ni full shangwe hapaNafuraha sanaaaaaaaa
Nafuraha sanaaaaaaaaHivi Simba tulishindwaje kuwafunga hawa vyura wa jangwani?
Asanteni watoto wa Bakhresa mmewabikiri uto
Kinachofuata hapo ni kupigwa tu miti mechi zijazo
HahahaZa Nyongeza zilikuwa 7 ila Mpira umechezwa dakika 10 na sekunde kadhaa .
Jee Leo utopwilo mnasemaje??