nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Tufanye hamjafungwa mkuuHii Yanga kuifunga inabidi wawe Pungufu tu, tofauti na Hapo ni kichapo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tufanye hamjafungwa mkuuHii Yanga kuifunga inabidi wawe Pungufu tu, tofauti na Hapo ni kichapo tu
Natoka nje mida hii kupunga hewa jirani yangu anarudi ananyata na mtisheti wake WA kisamvu🤣Jirani yangu hapa Msata Kilingeni kanuna mishavu imevimba kama paka shume😂
Hata kwa mfano haiwezekani𝗡𝗮 𝘄𝗲𝘄𝗲 𝗻𝗶 𝗠𝘄𝗮𝗻𝗮𝗶𝗻𝗷𝗶 ?🤣🤣🤣
Natoka nje mida hii kupunga hewa jirani yangu anarudi ananyata na mtisheti wake WA kisamvu🤣Jirani yangu hapa Msata Kilingeni kanuna mishavu imevimba kama paka shume😂
Adui yako muombee mambo mabaya.Basi hongera ila aliyepigwa bado ni bingwa wa msimu huu ,licha ya simba kushangilia kama ndio washindi wa mechi ya leo,furaha kama zote.Hongereni.
Tufanye hatujafungwa kivipi na wakati Azam wameshinda mkuu?Tufanye hamjafungwa mkuu
Hata siezi jinyonga.Palestina kabigwa arsenal kapigwa , yanga kapigwa mkuu bora ujinyonge tu😅😅😅
Tufanye hatujafungwa kivipi na wakati Azam wameshinda mkuu?Tufanye hamjafungwa mkuu
𝗪𝗮𝘂𝘇𝗮 𝗺𝗶𝗸𝗮𝘁𝗲, 𝗷𝘂𝗶𝗰𝗲, 𝗺𝗮𝗮𝗻𝗱𝗮𝘇𝗶, 𝗶𝗰𝗲 𝗰𝗿𝗲𝗮𝗺 𝘁𝘂𝗺𝗲𝗳𝘂𝗿𝗮𝗵𝗶 🥳🥳🥳🥳Hata kwa mfano haiwezekani
Kuzoea yamezoeleka kwasababu ndio UhalisiaMaandishi haya si mageni jijini....labda kwa mgeni jijini, ila kwa wenyeji wa Jiji ni maandishi tuliyoyazoea😄
Inaonekana Yanga inawaumiza sana ninyi jamaa.Tufanye hamjafungwa mkuu
OyeeYanga oyeee🤣
Wanufaika WA red card leo kibao kimepiga U-turn😂🤛NDio unaifungaje bila red card??
Wanufaika WA red card leo kibao kimepiga U-turn😂🤛NDio unaifungaje bila red card??