FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Yanga hamna kitu hapa, tuambiane tu ukwel, angalau angekuepo Gamond, tungejipa moyo kuwa baada ya kipind cha pili watu watarud na mbinu mpya.

Ila huyu bwana, sisi tunaangakia mpira na kocha naye anaangalia mpira kutafuta kikosi, kuna nin tena hapa??
Atasema ameikuta timu ina wachezaji wazee, January wampe pesa asajili
 
Yanga walitakiwa kuwa wameimaliza game kipindi cha kwanza
 
Yeboyebo wanacheza kama bata wanaoharisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ