Atasema ameikuta timu ina wachezaji wazee, January wampe pesa asajiliYanga hamna kitu hapa, tuambiane tu ukwel, angalau angekuepo Gamond, tungejipa moyo kuwa baada ya kipind cha pili watu watarud na mbinu mpya.
Ila huyu bwana, sisi tunaangakia mpira na kocha naye anaangalia mpira kutafuta kikosi, kuna nin tena hapa??
WamenyimwaaaPenaaaaaalty
Hivi mtu unawezaje kuwa shabeki wa mpira wakati hujawahi hata kumiliki tsh milioni kumi?๐๐๐๐ธ๐ธ๐ธ
Hapa Yanga tukubali tumepiga hatua nyiiiing kurud nyuma. Leo tutapigwa na tukijitahid sanaaa ni sareAtasema ameikuta timu ina wachezaji wazee, January wampe pesa asajili
Labda tungekuwa Ibadani msikitini au kanisani ningekuelewa. Uwanjani ni uwezo, mkiongeza nguvu mtashinda, lakni sio imani.Tutashinda amini hivyo. ๐
Lawama zimeanza kwenda mpaka kwa KamweAlly Kamwe ndiye kamjaza hofu dube kwa utoto wake
Yeboyebo wanacheza kama bata wanaoharisha๐ #CAFCL
โฝ๏ธ Young Africans SC๐Al Hilal
๐ 26.11.2024
๐ Benjamin Mkapa
๐ 10:00 Jioni
View attachment 3161611
Kikosi kinachoanza dhidi ya Al Hilal
View attachment 3162189
View attachment 3162190
Dakika ya 5
Mpira Umeanza
Dakika ya 10
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika 25
Yanga wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 29
Dube anakosa nafasi ya wazi anateleza hapa kwenye boxi
Dakika ya 34
Al hilal wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 40
Mudathir anafanyiwa madhambi
Bantu wewe ni mrembo mno , ila sijui kwanini unajihusisha ma mambo ya hovyo kama yanga๐ค๐ค๐ค๐คTutashinda amini hivyo. ๐
Mchezaji wa HilalKwa nani?
Wakati mashabiki wanaomba bora second half asirudiLeo anaweza funga mkuu, si unaona anavyojituma.