FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Ifike muda sasa Diarra apumzishwe. Hee mnamchezesha mtoto wa watu, kama Bot!!!
Kwaherini, ngoja nipumzike kwanza. Maana nitawachamba hao kina Azizi K waone kwanza.
 
Nimeishi sana Sudan ya Temeke, hivyo sina budi kuwasapoti Al Hilal ya Wasudan wenzangu.

Ibenge piga mbili tu hao washirikina Utopolo wapoteaneπŸ”₯πŸ”₯View attachment 3161701
Umetisha sana man na kweli wamekula chuma 2 kavu....hakika pale temeke sudan kwa wahaya kutakuwa na discount leo🀣
 
Naunga mkono hoja tajiri yangu πŸ˜€ πŸ˜ƒ πŸ˜ƒ
 
Binafsi naona wachezaji wapo ila mbinu tu ndo sifuri. Wancheza kwa kukalili tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…