Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Umetisha sana man na kweli wamekula chuma 2 kavu....hakika pale temeke sudan kwa wahaya kutakuwa na discount leoπ€£Nimeishi sana Sudan ya Temeke, hivyo sina budi kuwasapoti Al Hilal ya Wasudan wenzangu.
Ibenge piga mbili tu hao washirikina Utopolo wapoteaneπ₯π₯View attachment 3161701
Mpk ulipata huu ujasiri hawakishtuka tuπ€£π€£Yanga akishinda navua nguo
Potelea mbaliUchawi huu....
Wote ni matapeli tu πππKati ya kocha tapeli na wale waliomleta tapeli nani tapeli?
Inauma mpaka wapi mkuu?π€£π€£π€£inauma sana!
Naunga mkono hoja tajiri yangu π π πππππππππππππππππ
Unaifungajeee huu wimbo, umetia nuksi na mzee wa fitna Manara. Umegeuka ndivyo sivyo. Hatumtaki Yanga, arudi alikotoka shwain zake.
hii shughuli lazima iingiliwe na mizimu sasa!Inauma mpaka wapi mkuu?π€£π€£π€£
Mimi ni kocha wa daraja c haya una cha kusema ?Tutakupa kazi ya ukocha sasa
Binafsi naona wachezaji wapo ila mbinu tu ndo sifuri. Wancheza kwa kukalili tuAlitakiwa atoke Dube, Aziz na Kibabage.
Pacome aliamka baada ya kupigwa moja. Alicheza vizuri Sana.
Upumbavu wa Dube Day ulifanya kocha akomae nae hadi mwisho.
Kila mtu akiona Dube anajinyea tu uwanjani.
Kumtoa Maxi ilikuwa kosa kubwa.
Abuya alipotolewa angeingia Mkude.
Magoma apewe timu yake sasa πWote ni matapeli tu πππ
Unaunga mkono hoja ipi zaidi ya nyie kupakiwa mkongo mkuu π€Naunga mkono hoja tajiri yangu π π π
ππ
View: https://youtu.be/2XBtSC5plo0?si=S1EEQRZ5wA8rWn61
Nawakumbusha tu hii ni defeat ya mara tatu mfululizo. Kila ikiingiza timu, inachezea, wakiingiza tena wanachezea mpaka inafika mara 3.
Ngoja kesho usije kulia tu πUnaunga mkono hoja ipi zaidi ya nyie kupakiwa mkongo mkuu π€
Mods mmeunga uzi kuficha aibu ya nchi?
View: https://youtu.be/2XBtSC5plo0?si=S1EEQRZ5wA8rWn61
Nawakumbusha tu hii ni defeat ya mara tatu mfululizo. Kila ikiingiza timu, inachezea, wakiingiza tena wanachezea mpaka inafika mara 3.
Mimi ni simba na simba huwa ni King of the jungle π€π€ ebu gugo hapo ππππ au hauna bando mkuuπ π πNgoja kesho usije kulia tu π