FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Mkuu naona umechanganyikiwa hadi kiswahili kinakushinda.

Nasema mmepigwa goli 2 kama alizowafunga Chikola. Sio game 2 ni goli 2 kati ya zile 3 za Nyuki wa Tabora
Mkuu ulinielewa kweli?
 
Screenshot_20241127-193521_Instagram.jpg

Mzee wa kukera anawasalimia
 

Attachments

  • Screenshot_20241127-193521_Instagram.jpg
    Screenshot_20241127-193521_Instagram.jpg
    270.9 KB · Views: 6
Mimi kama shabiki wa uto nasemaje... Fukuza kocha majukumu apewe Aziz Ki anajiona kama kocha mkuu muda wote anaelekeza wenzake lakini kujielekeza yeye hataki.
MImi kama kocha mkuu pia ukiacha kufukuza kocha tufukuze na kipa ...kipa limekuwa chujio kinoma daily magoli ya tobo ..si tunatoka mbali tunakuja kuona mtu anapigwa tobo ndo nini yaan nimeghafirika sanaa
 
Back
Top Bottom