FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Mimi ni simba/koro damu ila nawaombea ushindi mabigwa wa kihistoria wa hapa nyumbani, huu ishindi uwe chachu ya sisi kushinda pia hapo kesho.
 
mimba hiii
Kwa list hii kama ni mapenzi yakoo kikombe hiki kutuepuke ee Bwana
 
Hii game inaenda kuwa ngumu Sana Kwa timu yangu ...Young Africans vijana inataliwa ipambanane kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…