FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Leo ilikuwa zamu yangu kuanzisha uzi huu lakini kabla sijatoka kazini wewe umeshauanzisha, je wewe hufanyi kazi? Sasa sis wengine tutaanzisha lini kama mnatuwahi kila gemu? Tuoneeni huruma sisi wanyonge kusudi nasi tupate angalau nafasi moja ya kuanzisha uzi.
[emoji16][emoji16]
 
Yao Kwasi asikosekana pale nyuma
Shedrak Bocca asikosekana Wazee
Baka asikosekana ingawa kapigwa red

Kocha aambiwe mapema bila hivyo vifaa uwanjani tutaaibika uwanjani nawaambia bila hivyo vifaa Yanga inafungwa kilaini tu
Gamond kasingiziwa

Yaan bila safu ya mabeki Yanga ni mwepesi mno ukiua safu ya mabeki waliobaki wote mdebwedo hakuna cha Mudathiri hakuna cha Pacome Aziz Ki Nzengeli wala Dube hawarudi nyuma kuja kukaba goli lisifungwe wanakaa mbele tu golini hakuna wa kuzuia
Red ya NBC inahusika vp na CAFCL
 
Huyu admin wa Al Hilal aweke namba tumrushie hata buku buku
IMG_4395.jpeg
 
Back
Top Bottom