FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Yanga akishinda navua nguo
Screenshot_20230502-222929.png
 
Nilikuwa nimeupania kweli kweli !! Sasa ngoja nisubiri mechi ya marudio, siku hiyo sitakwenda kazini nitmpigia bosi wangu kumwambia kuwa nitasingizia kuwa bibi yangu kafariki ninakwenda kwenye msiba huko kijijini kusudi nisiende kazini ili nifanye timing ya haraka sana. Unajua siyo vizuri kuanzisha uzi kabla ya siku yenyewe halafu mimi muda wangu wa kazi umekaa fyongofyongo vile.
20241125_231111.jpg

Miyeyusho
 
Leo ilikuwa zamu yangu kuanzisha uzi huu lakini kabla sijatoka kazini wewe umeshauanzisha, je wewe hufanyi kazi? Sasa sis wengine tutaanzisha lini kama mnatuwahi kila gemu? Tuoneeni huruma sisi wanyonge kusudi nasi tupate angalau nafasi moja ya kuanzisha uzi.
Ninyi watu, hamlali kwa sababu ya kuwaza kuanzisha Uzi. Basi ratiba ya kuanzisha Uzi iwekwe ili kila mmoja apate haki.
 
"Tutafungua milango iliyofungwa"

Shensiiiii.

Kauli mbiu tu imekaa kishirikina

Ndio baadaye TFF muanze unafki wenu kushangaa kuona watu wakibebana kupitia dirishani wakati dalili zote zilionekana tangu mapema ila mkaamua kupuuzia.

Maana yake uongozi wa Yanga mpaka sasa una amini Mpumelelo amelogwa.

Kuna uwezekano huyo Mpumelelo leo akaingia na powerbank kwenye pitch.

Kinachokuja kuniacha njia panda ni pale ambapo sehemu kubwa ya maandalizi ya mechi yamefanyika kwa njia za kijadi zaidi.

Lakini inapotokea mechi imeisha wakiwa wamefungwa, unaona lawama zinaenda tena kwa kocha na technical bench lake.

Kwanini lawama isiende kwa Sangoma?
Kauli mbiu imekaa kishirikina kuliko ile ya Ubaya Ubwela?

Makolo ni makolo tu
 
Back
Top Bottom