mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
๐๐๐๐ธ๐ธ๐ธ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uvue mimi nikiwepo uone nitavyokupelekea motoYanga akishinda navua nguo
Wewe kinye tuliaKuna kila dalili Utopolo ita 'taboriwa' tena leo.
Yanga akishinda navua nguo
Subiria mechi iishe tukuone ulivyochanua hapo katiYanga akishinda navua nguo
InshallahNawaombea ushindi watani wetu Amphibia ili walau wajipoze machungu na sumu za nyuki wa Tabora
Nilikuwa nimeupania kweli kweli !! Sasa ngoja nisubiri mechi ya marudio, siku hiyo sitakwenda kazini nitmpigia bosi wangu kumwambia kuwa nitasingizia kuwa bibi yangu kafariki ninakwenda kwenye msiba huko kijijini kusudi nisiende kazini ili nifanye timing ya haraka sana. Unajua siyo vizuri kuanzisha uzi kabla ya siku yenyewe halafu mimi muda wangu wa kazi umekaa fyongofyongo vile.
Atakuwepo dimbani leo๐View attachment 3161781
Miyeyusho
๐๐๐๐ KabisaAtakuwepo dimbani leo๐
Ninyi watu, hamlali kwa sababu ya kuwaza kuanzisha Uzi. Basi ratiba ya kuanzisha Uzi iwekwe ili kila mmoja apate haki.Leo ilikuwa zamu yangu kuanzisha uzi huu lakini kabla sijatoka kazini wewe umeshauanzisha, je wewe hufanyi kazi? Sasa sis wengine tutaanzisha lini kama mnatuwahi kila gemu? Tuoneeni huruma sisi wanyonge kusudi nasi tupate angalau nafasi moja ya kuanzisha uzi.
Nguo huwa unavua mwenyewe kwa hiari yako au huwa unavuliwa na my Wako.Yanga akishinda navua nguo
๐ #CAFCL
โฝ๏ธ Young Africans SC๐Al Hilal
๐ 26.11.2024
๐ Benjamin Mkapa
๐ 10:00 Jioni
View attachment 3161611
Kauli mbiu imekaa kishirikina kuliko ile ya Ubaya Ubwela?"Tutafungua milango iliyofungwa"
Shensiiiii.
Kauli mbiu tu imekaa kishirikina
Ndio baadaye TFF muanze unafki wenu kushangaa kuona watu wakibebana kupitia dirishani wakati dalili zote zilionekana tangu mapema ila mkaamua kupuuzia.
Maana yake uongozi wa Yanga mpaka sasa una amini Mpumelelo amelogwa.
Kuna uwezekano huyo Mpumelelo leo akaingia na powerbank kwenye pitch.
Kinachokuja kuniacha njia panda ni pale ambapo sehemu kubwa ya maandalizi ya mechi yamefanyika kwa njia za kijadi zaidi.
Lakini inapotokea mechi imeisha wakiwa wamefungwa, unaona lawama zinaenda tena kwa kocha na technical bench lake.
Kwanini lawama isiende kwa Sangoma?
Yule aliyewaambia makolo wawashe moto uwanjani kule South ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃSangoma yupi๐
Halafu ukishavua?Yanga akishinda navua nguo
Heh!!๐๐ฅ๐ฅ๐๐Yanga akishinda navua nguo