FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

"Tutafungua milango iliyofungwa"

Shensiiiii.

Kauli mbiu tu imekaa kishirikina

Ndio baadaye TFF muanze unafki wenu kushangaa kuona watu wakibebana kupitia dirishani wakati dalili zote zilionekana tangu mapema ila mkaamua kupuuzia.

Maana yake uongozi wa Yanga mpaka sasa una amini Mpumelelo amelogwa.

Kuna uwezekano huyo Mpumelelo leo akaingia na powerbank kwenye pitch.

Kinachokuja kuniacha njia panda ni pale ambapo sehemu kubwa ya maandalizi ya mechi yamefanyika kwa njia za kijadi zaidi.

Lakini inapotokea mechi imeisha wakiwa wamefungwa, unaona lawama zinaenda tena kwa kocha na technical bench lake.

Kwanini lawama isiende kwa Sangoma?
Wivu utakuua mdau!!
 
Yanga leo anashinda vizuri tu ingawaje mechi itakua na ushindani sana shavu la kushoto akiwepo Isaka Isaka na kulia Yao Yao kati Job na Baka kiungo ya chini Nzegeli na juu Aucho huko mbele weka Pacome, Dube na mwamba wa Lusaka hao jamaa hawatoki salama..zile assist za Chama lazima upate goli.
 
Mm yanga damu ila leo tunafungwa 1
Habib habib
تبين نززيزسسزسن زورويوبنيتي job red card🐸🐸🐸
IMG-20241126-WA0022.jpg
 
Ushindi kwa wananchi.
Mungu ibariki Yanga.
 
Back
Top Bottom