Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Nitaomba niwe office chair yako kwa siku ya leo tu baada ya kuvua hizo nguo zako.Yanga akishinda navua nguo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaomba niwe office chair yako kwa siku ya leo tu baada ya kuvua hizo nguo zako.Yanga akishinda navua nguo
Wivu utakuua mdau!!"Tutafungua milango iliyofungwa"
Shensiiiii.
Kauli mbiu tu imekaa kishirikina
Ndio baadaye TFF muanze unafki wenu kushangaa kuona watu wakibebana kupitia dirishani wakati dalili zote zilionekana tangu mapema ila mkaamua kupuuzia.
Maana yake uongozi wa Yanga mpaka sasa una amini Mpumelelo amelogwa.
Kuna uwezekano huyo Mpumelelo leo akaingia na powerbank kwenye pitch.
Kinachokuja kuniacha njia panda ni pale ambapo sehemu kubwa ya maandalizi ya mechi yamefanyika kwa njia za kijadi zaidi.
Lakini inapotokea mechi imeisha wakiwa wamefungwa, unaona lawama zinaenda tena kwa kocha na technical bench lake.
Kwanini lawama isiende kwa Sangoma?
Ntaikumbushia hii Ban kama ya yule mshabiki wa Yanga sasa hivi katia akili azungumzii ban tena..Yanga akishinda hii game nipigie Ban wiki kavu
Unawatamanisha tu wahuni kwa kuwa upo mbali..sema unampa mmoja zawadi uone atakavyokuja kwa speed ya Jua..Yanga akishinda navua nguo
mnakufa 2:1 hakuna namnaTunapiga mtu tatu bila
Dubeeee
Kiiiii
Zingeliii
Pacomeeee offside
chezea nyuki wewe hadi aly kamwe kaokoka siku hizi anaka-slogani ya kilokole"Tutafunngua milango iliyofungwa"
DUBE mbeba maono ya timu😂😂😂
Akishavua, anakalia kigogo jirani na mburahati.Halafu ukishavua?