Blender
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 4,870
- 8,035
Kocha kabugi sub
Wanasema Eti laana ya gamondYanga hawajui hata wamtoe nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kocha kabugi sub
Wanasema Eti laana ya gamondYanga hawajui hata wamtoe nani
Na kila siku tulikua tunajisifiabkuwa tuna kikosi kipana, acha inyeshe tu, si waliamua kujitoa akil kumuondoa Gamond!!.Yanga hawajui hata wamtoe nani
Leo inatokea , kunywa 🍻Yanga hajawahi kufungwa mechi tatu mfululizo:
Azam 1-0
Nyuki 3-1
Al Hilal 0-1
Mamamamammaaaaaeeeee
Yaniii sijui kwanini aisee nilishangaa sana labda aliwatukana viongozi maana yule kipara nae alionekana ni mtataNi upumbavu tu, timu inafungwa mechi mbili unafukuza kocha mwenye track record nzuri. Yanga watafungwa sana, pumbav zao!!
Kwakwel nimeumia sanaaa hawa mafala YangaHata ningekuwa mimi naachaje kucheka
Raha sana😆
Mtu mzima unakua na akili za kiipumbavu namna hii?Yanga afrika inafirwaje jeee ...inafirwaje....ooh samahani inafungwajeee
Ngoja tuangalie vichekesho vya Family MattersMax anatoka anaingia Chama
Unatoa mlango unaweka pazia
KwikwikwikwiYanga 0-1 Al Hilal, Tabora Utd & Azam Fc
Dube mpiga nyeto huyo hana msaada wowote kwa timuIla Dube ana mikimbio mizuri tumpe muda
Hamjaanza tu kumkumbuka?🤣😂Niliwaambia mimi, tutamkumbuka Gamondi.
Mpumelelo leo ana komonio kwa hiyo si vyema kuharibu status yakeSiasa za mpira za hovyo sana, badala ya kumtoa dube, unatoa max