DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Aisee Scars Hunizidi Mimi Nina Furaha saaaanaAiseeee leo nina furaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee Scars Hunizidi Mimi Nina Furaha saaaanaAiseeee leo nina furaha
Sema Mancity anapigo za ajabu 😮💨😮💨😮💨😮💨. Inabidi uwe macho leo kwenye CASH OUT"Labda Hizo timu zingine ziniharibie
Matimu yenu ya hovyo hayo zaidi ya kuongea Timu ndogo hakuna la maana.Heee sisi hayatuhusu wao walitusema kila muda page ya yule kamwe ilijaa simba...ngoja wapitie magumu na wao...shubaaaaamit...
Hakuna kisichoonekana.. wachezaji wamechoka ..aiseee hatakama sisi ni wapinzani ila hiii sio yanga tunayoijua hiii hata ile furaha ya yanga kupoteza haipo ipo kutokuelewa ni nini kinachoendelea na yanga yapo mengi ambayo hatuyajui
Umeumia wapi mtani tuonyesheDaah nimeumiaaaaaaaaa yaniii moyo umekua hovezi....
Waongeze sifike 100Dakika 5 zimeongezwa
wewe mjinga tuWacha niku ignore maana siendekezi ubishani na watoto wa balehe.
Kuna kitu hakiko sawaaiseee hatakama sisi ni wapinzani ila hiii sio yanga tunayoijua hiii hata ile furaha ya yanga kupoteza haipo ipo kutokuelewa ni nini kinachoendelea na yanga yapo mengi ambayo hatuyajui
Yanga bila madawa inawezekanaHii sasa ndio Yanga yetu tunayoijua