FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Mlionitukana wakati nasema sitoenda uwanjani leo mko wapi? Hersi na wenzie watatuambia nini?

Yalikuwa makosa makubwa kumtoa Gamondi, nawaambia huu ndio mwanzo wa shimo la Yanga.
Wachezaji wamechoka.. hakuna cha Gamondi hapo...
Magoli waliyokosa leo Gamondi ndo angefunga...
 
Bangi kazini
Kazi kazi vipi huko ?
1000012706.jpg
 
Hapa kibanda umiza ninapoangalia mpira kuna mtu kapasua Tv na chupa ya bia, sijui ni shabiki wa timu gani
 
Shenzi ww hujui sisi ndo wapiga kura wa mama ako kizimkazi....hahauuah
Pumbavu zenu ,kupiga kura Samia na nyie matimu yenu kubebwa vinahusianaje?

Samia lazima awe Rais hata msipompigia kura,nani kukwambia wanategemea kura zenu?

Mtakoma Bado zamu yenu kesho
 
Back
Top Bottom