FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

🏆 #CAFCL
⚽️ Young Africans SC🆚Al Hilal
📆 26.11.2024
🏟 Benjamin Mkapa
🕖 10:00 Jioni
View attachment 3161611
Kikosi kinachoanza dhidi ya Al Hilal
View attachment 3162189

View attachment 3162190
Dakika ya 5
Mpira Umeanza

Dakika ya 10
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi


Dakika 25
Yanga wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 29
Dube anakosa nafasi ya wazi anateleza hapa kwenye boxi

Dakika ya 34
Al hilal wanakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 40
Mudathir anafanyiwa madhambi

Dakika ya 45+1
HT: Yanga SC 0-0 Al Hilal
View attachment 3162203
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 48
Aziz k anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 50
Yanga sC wanapata Kona

Dakika ya 51
Aziz k amekosa hapa

Dakika ya 53
Max anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 55
Aziz k anakosa nafasi ya wazi hapa

Dakika ya 57
Yanga sc wanapata kona

Dakika ya 60
YNG 0-0 HIL


Dakika ya 63
Al hilal wanapata goli

Dakika ya 65
Bacca anakosa nafasi ya wazi

Mabadiliko
Anatako maxi anaingia musonda

Dakika ya 74
YNG 0-1 HIL

Dakika ya 78
Yanga wanafanya mashambulizi

Dakika ya 85
Yanga sc wanakosa sana nafasi za wazi

Dakika ya 90+5
Al hilal wanapata goli la pili

Mpira umeisha FT
Leo nimedhihirisha kuwa Watanzania hawana taifa wala utaifa.Watanzania leo wamekuwa wasudaani
 
Back
Top Bottom