min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Moyo wa kipumbavu wa kuulinda yanga unautoa wap mkuu😅😅😅Naulinda wangu moyooo😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moyo wa kipumbavu wa kuulinda yanga unautoa wap mkuu😅😅😅Naulinda wangu moyooo😀
Usaliti huu.....Safi sana
Daima nyuma mbele mwiko
Alaaniwe Hersi na genge lake la kihuni kutuharibia timu katikati ya msimu.
Zingatia uzi mzee, timu iache kwanza.Ila mna timu mbovu.
Leo nimedhihirisha kuwa Watanzania hawana taifa wala utaifa.Watanzania leo wamekuwa wasudaani🏆 #CAFCL
⚽️ Young Africans SC🆚Al Hilal
📆 26.11.2024
🏟 Benjamin Mkapa
🕖 10:00 Jioni
View attachment 3161611
Kikosi kinachoanza dhidi ya Al Hilal
View attachment 3162189
View attachment 3162190
Dakika ya 5
Mpira Umeanza
Dakika ya 10
Yanga SC wanakosa nafasi ya wazi
Dakika 25
Yanga wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 29
Dube anakosa nafasi ya wazi anateleza hapa kwenye boxi
Dakika ya 34
Al hilal wanakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 40
Mudathir anafanyiwa madhambi
Dakika ya 45+1
HT: Yanga SC 0-0 Al Hilal
View attachment 3162203
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 48
Aziz k anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 50
Yanga sC wanapata Kona
Dakika ya 51
Aziz k amekosa hapa
Dakika ya 53
Max anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 55
Aziz k anakosa nafasi ya wazi hapa
Dakika ya 57
Yanga sc wanapata kona
Dakika ya 60
YNG 0-0 HIL
Dakika ya 63
Al hilal wanapata goli
Dakika ya 65
Bacca anakosa nafasi ya wazi
Mabadiliko
Anatako maxi anaingia musonda
Dakika ya 74
YNG 0-1 HIL
Dakika ya 78
Yanga wanafanya mashambulizi
Dakika ya 85
Yanga sc wanakosa sana nafasi za wazi
Dakika ya 90+5
Al hilal wanapata goli la pili
Mpira umeisha FT
Mkuu vuta bangi sasa hivi , utagundua kocha wenu ni tapeli 😂😂😂😂😂😀😀Tulia kaka
siyo ile ya sindanoHii sasa ndio Yanga yetu tunayoijua
Alafu bado wanaendelea kucheza na binadamu,Mungu tuletee malaika tucheze nao.hizi timu za duniani haziwezi kutufunga.🤣🤣🤣
utaifa nikwenye timu ya taifa,vilabu kila mtu ashinde mechi zakeLeo nimedhihirisha kuwa Watanzania hawana taifa wala utaifa.Watanzania leo wamekuwa wasudaani
Mzimu wa Gamond utaendelea kuwatafuna hadi Yesu atakaporudi.View attachment 3162296
Miyeyusho sana yaani sana 😭😭😭😭
Tutashinda amini hivyo. [emoji120]
Kwahiyo hata kw. Nia njema nayo ishakua nani kakuomba ? Hee hayaNani kakuomba ???? 😂😂😂😂😂😂
kutokana na ufinyu wa bajet mama hajatoa hela tuzikeTunazika au tunasafirisha?
Anyway; maisha ndo yalivyo tuendelee tu tuone mwisho wakeAisee mie nilishangaa nilitukana matusi yote hapa uwanjani
Ngoja nile kokeiniMkuu vuta bangi sasa hivi , utagundua kocha wenu ni tapeli 😂😂😂😂😂
Mkeka umetikiHome win and over 1.5 odd 2+