FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

FT: Young Africans SC 0 - 2 Al Hilal | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 26.11.2024 |

Timu hii kuna kitu hakiko sawa pale kwenye timu yangu ya yanga. Sub mbili dk90 kweli jamani et? Alafu eti max anatoka anaingia musonda serious kabisa? Anatoka duke abuya eti anaingia chama kweli? Alitakiwa atoke prince na pacome ndo aingie (chama in pacome out, prince out msonda in ) lakn sub za kijinga kabisa.
 
Back
Top Bottom