kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,706
- 6,901
Jana tu ndo mkosi ulimtoka mule hamna mtu usimfananishe Pacome na vitu vya hovyoKwa ile chansi aliyopata Pacome ya kufunga bao la kuongoza angekuwa ni Onana angeitumia kufunga bao 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana tu ndo mkosi ulimtoka mule hamna mtu usimfananishe Pacome na vitu vya hovyoKwa ile chansi aliyopata Pacome ya kufunga bao la kuongoza angekuwa ni Onana angeitumia kufunga bao 2
Mmeshindwa shirikisho ndo mtaweza klabu bingwatusha mwachia sisi ilikuwa kushiriki tu makundi ila kabumbu tunalo piga linafanya tufikirie kuchukua ubingwa kabisa
Kama unamwangalia vizuri, Lomalisa anachomesha sanaClear chances mbili zingekuwa 3 Mpaka sasahivi .
kibabage ameshamweka benchi lomalisa
Simba SC + Wydad Casablanca wanaweza kufikia uwezo wa Madeama 45% kwa ubora.Hawa jamaa watarudi kwa. Kasi..mi bado nawaheshimu sana.
Ni level yako huyo so jipigie tukama zitatolewa takwimu za kumiliki kabumbu kwa ligi ya mabingwa yanga anajua sana
sio kusema madeama ana stahili yeye pia hapendi analazimishwa na wanao jua
Dunia Duarausiwaze ushirikina
Wengine wana vyeti vya utabibu wa mifugo ila wanajiita madokta.Kinachonisikitisha wewe ni daktari[emoji28][emoji28]
Ile iliyowafunga makolo 5Kwa timu gani nawewe ya kututambia?
Mwasibu wa mchongo! Huna jipyaMods hawawezi kuacha mambo ya msingi ya kufanya
Mme toka kwa beleke mme amia kwa onana ..Simba 2-0 Wydad
Zote kafunga Onana
[emoji1787][emoji1787]Simba 2-0 Wydad
Zote kafunga Onana
kumbe kufika fainali ni kushindwa,tena kutolewa kwa kanuniMmeshindwa shirikisho ndo mtaweza klabu bingwa
Kijamaa sio kichezaji ni kijanjajanja tu hakiwezani na mikiki ya lg ya mabingwaNzengeli hayupo Kwenye ubora wake Leo
Simba 2-0 Wydad
Zote kafunga Onana
Chansi ipi unayozungumzia aliyopta Pacome?Kwa ile chansi aliyopata Pacome ya kufunga bao la kuongoza angekuwa ni Onana angeitumia kufunga bao 2
Sambou jana kakosa magoli ya wazi huwezi sema ushirikina ni mchezoDunia Duara
Hata kwao walistahili kufa 3-1 sema ndiyo hivyo tena mipango nnje ya uwanja Yanga ni wanafunzi ndiyomaana walinyimwa haki za goli la halali na red card kwa lichezaji la Mediama SC.Medeama walistahili kufungwa zaidi ya goli moja.
Walikuwa na makosa mengi sana ya wazi lakini bahati imekuwa kwao tu kwasababu wanaofika fika kule mbele ni kina Musonda, Kibabage na Max ambao wamekuwa na maamuzi mabovu ya mwisho
Kufika fainali bila kunyanyua kombe ni kushindwakumbe kufika fainali ni kushindwa,tena kutolewa kwa kanuni
Huyu dogo atakuwa ametekwa na mashangingi ya mjini. Siyo bure.Hivi Max anashida gani skuhizi[emoji848]