Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia najiuliza leo hii Yanga tukipata hata sare tu tutaficha wapi sura zetu siye kwa Makolokolo [emoji848]Wakishinda tutaweka wapi sura zetu[emoji2][emoji2][emoji2]
Sema yakicheza makolo acha kuhamisha magoli🤣Ndiyo mjue kutofautisha sasa...
Akicheza mnyama kinawekwa chap...Nyie basi muombe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lazima uchanganyikiwe maana mlikuwa na matokeo yenu mfukoniMbona uzi hauleweki?
Unaweza kujituma ila huna sababu za kushinda, ndicho walichofanya jamaa..🤣Mbona walijituma sana kipindi cha pili
Waliomroga Max kwakweli wanatakiwa wapelekwe Gaza kuroga Magaidi maana si kwa namna ile [emoji15][emoji23]Hivi Max anashida gani skuhizi[emoji848]
We ongea tu mwache huyu babu yenu ajiangaishe angaisheJana tu ndo mkosi ulimtoka mule hamna mtu usimfananishe Pacome na vitu vya hovyo
Oyaaa 🤣Unaweza kujituma ila huna sababu za kushinda, ndicho walichofanya jamaa..🤣
Kumbuka tu kundi la Yanga ni la Mabingwa tupu kwenye nchi zao. Kwa hiyo ujitahidi kuwaheshimu. Ni tofauti na kundi kama lile la kwenu ambalo lina timu za viti maalum.Kwa timu gani nawewe ya kututambia?
Ni vyema tukatumia fursa kabisa maana hii ndio mechi yetu ya mwishoIla hii Yanga ni ya Moto sana
Vyura bhana....Mna kelele[emoji1787]Sema yakicheza makolo acha kuhamisha magoli[emoji1787]
Wydad aliyefungwa na viazi galaxy?Kweli unaifananisha Wydad na Madeame mkuu?
Kwambo huyu huyu 'colo' aliyekula mkono ana uwezo kuwashinda wananchi🤣Oyaaa 🤣
Hivi uto hii inayocheza na Madeama mngekutana na Wydad sasa hivi si mngekuwa mshapigwa chuma 3
Mabingwa ni wawili we haupoKumbuka tu kundi la Yanga ni la Mabingwa tupu kwenye nchi zao. Kwa hiyo ujitahidi kuwaheshimu. Ni tofauti na kundi kama lile la kwenu ambalo lina timu za viti maalum.
Tena alifungwa kwao Casablanca, Wydad hamna timu paleWydad aliyefungwa na viazi galaxy?
Wydad hakuna timu mule tena mshukuru mmepata kundi mchekea
Kundi mchekea ni lenu utoWydad aliyefungwa na viazi galaxy?
Wydad hakuna timu mule tena mshukuru mmepata kundi mchekea