ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Ni haki yetu ya msingi, haki haiombwi ujue!🤣🤣 mmekutana na watu wanadai mishahara hawana hamasa ya kucheza...mnajisifuuuVyura bhana....Mna kelele[emoji1787]
Live Updates tu mmetaka kulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni haki yetu ya msingi, haki haiombwi ujue!🤣🤣 mmekutana na watu wanadai mishahara hawana hamasa ya kucheza...mnajisifuuuVyura bhana....Mna kelele[emoji1787]
Live Updates tu mmetaka kulia.
Kocha alikuwa nani?Kwambo huyu huyu 'colo' aliyekula mkono ana uwezo kuwashinda wananchi🤣
ni wazo lako. tumekusikiaKumbuka tu kundi la Yanga ni la Mabingwa tupu kwenye nchi zao. Kwa hiyo ujitahidi kuwaheshimu. Ni tofauti na kundi kama lile la kwenu ambalo lina timu za viti maalum.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni haki yetu ya msingi, haki haiombwi ujue![emoji1787][emoji1787] mmekutana na watu wanadai mishahara hawana hamasa ya kucheza...mnajisifuuu
Usilete habari zako za kocha mkuu, ulichezea mkono, hata jmosi ukikutana na mwananchi unakula mkono.Kocha alikuwa nani?
Nichanganyikiwe na nini sasa bwa shee...kwa lipi labda...sikuona live updates...tuliza munkari mpira badooLazima uchanganyikiwe maana mlikuwa na matokeo yenu mfukoni
Yeah ile mechi mlipoteza kwa uzembe wenuHata kwao walistahili kufa 3-1 sema ndiyo hivyo tena mipango nnje ya uwanja Yanga ni wanafunzi ndiyomaana walinyimwa haki za goli la halali na red card kwa lichezaji la Mediama SC.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
AlofungaChansi ipi unayozungumzia aliyopta Pacome?
Hao watamuona mnyama anayeyaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alooooh...si nyie mlisema tutakufa nyingi....Bhana weeeeee...
Kwani Mungu ni Eroni sasa....Kiko wapi[emoji28]
Bingwa wa Ghana ni sawa na aliyeshika nafasi ya 8 ligi kuu MoroccoKumbuka tu kundi la Yanga ni la Mabingwa tupu kwenye nchi zao. Kwa hiyo ujitahidi kuwaheshimu. Ni tofauti na kundi kama lile la kwenu ambalo lina timu za viti maalum.
Mi nilijua unauliza kimakuzi nami nikaamua nikuzingueNimeshaona Yanga 1,Medeama 0
Updates za Mods
Sema kweli kwa pira la Yanga unaweza ukaunguza mboga bila kujua..Utopolo midomo yao utaiona wakifunga
Mumshukuru yule kocha yule ndiye alitucostUsilete habari zako za kocha mkuu, ulichezea mkono, hata jmosi ukikutana na mwananchi unakula mkono.
Bongo noma. Ila atakaa sawa tuWashamloga Max kudadeeek..