Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mungu wa mizimuMpira ulivyoanza tu unaonyesha Yanga anafungwa au droo. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
yanga nae kajibuMedeama wameanza na shambulizi, ambalo limekuwa dhaifu
mbona leo umekuja mapena sana uku [emoji1787]sawa
Kale haramu na mchumba juu [emoji1787]Nina kama laki mbili inazagaa zagaa niwape Yanga washinde au ninywe beer tu?
Lakini pia matumizi ya hovyo ya hela kwenye mambo ya kijinga BOT wamekataza.[emoji23]Lakini pia matumizi ya hovyo ya hela kwenye mambo ya kijinga BOT wamekataza.
Kutengenezea mashada hela au hiyo hela kuibetia Yanga now ni ni marufuku kwa mujibu wa BOT.
Sio mimi naongea ni BOT wenyewe mi nimefanya kunukuu tu.
Hata Sub hayupo kabisaBacca Mbona hayupo ?
hivi yanakulaga nini kwao?Hawa Medeama wana nguvu sana
Wanakula magimbihivi yanakulaga nini kwao?
Mungu wangu, haya yanatakiwa yapigiwe pasi trilioni elf kumi ndio yatachoka