zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
kweli mkuu ila simba wange drawMedeama hata angecheza na Namungo wangepigwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli mkuu ila simba wange drawMedeama hata angecheza na Namungo wangepigwa tu
Hata angecheza na Tanzania Prison bado angefungwa hana hata ubora wowoteMedeama hata angecheza na Namungo wangepigwa tu
Hawa Namungo mliotoa nae droo nyie. Tena Medeama kajitahidi au mmesahau Novemba tano inabidi tuongeze mabango.Medeama hata angecheza na Namungo wangepigwa tu
Sasa sherehe za kufunga goli 3 moja kumzidi Simba za nini?simba iwe kipimo kwa mpira gani, timu haifikishia hata pasi 10 mfululizo iwe kipimo mkuu kuwa serious basi
Hata kule kwao walikuwa hivi hivi sema kule walipungua kidogo yani nyumbani kuliwabeba.Leo kwa kweli jamaa wamekuwa chini sana...no tempo to their play, sloppy passing, poor decision making on the ball and dnt even start on that weak asssssss penalty.
Msyuuuu...mbona unanichagulia betting yangu??Haya mie nabet simba akimfunga yanga nitacha story za kugegeda a hapa jf lakini simba akifungwa na yanga wee itabidi unipee mbususu ili kibamia changu kienjoy
Sana mkuuHata angecheza na Tanzania Prison bado angefungwa hana hata ubora wowote
Ule ulikuwa ni uzembe sana na sipendi kukumbushwaIla na kukumbusha Makirikiri walipindua mbili bila kwa Mkapa,ukala tatu moja na wanakuja tena hapo kwa Mkapa.
sisi hufanya sherehe kuanzia goli 5 ndo tunaweka na mabango hii si sherehe ni shamra shamraSasa sherehe za kufunga goli 3 moja kumzidi Simba za nini?
Mgumba kapata mimba mate mji mzima, hukupigwa 5 bila na Simba ?Hawa Namungo mliotoa nae droo nyie. Tena Medeama kajitahidi au mmesahau Novemba tano inabidi tuongeze mabango.
Unamuonaje jamaa nu striker mzr?Jonathan anakula umeme
Unaona wivu tuIla ushindi ulikua jana banaaaa...nchi ilizizima...
Hii Gwambina ya Ghana imekuja tuu kuosha macho Tanzania
Utashangaa tutakapo vuna za Al ahly na CZ bulouzidadHaina mvuto mkuu nakwambia kabisa...huyo Mediama alishazungumzwa ndo pekee Yanga watapata point kiulani
Si kwa sababu kipofu aliona mwangaIla ushindi ulikua jana banaaaa...nchi ilizizima...
Hii Gwambina ya Ghana imekuja tuu kuosha macho Tanzania