Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Ngoja muone mkifuzu nile ban msimu mzima wa LIGI YA MABINGWA.Wee half cast koko, punguza Wengee, utakujaa kujutaaa.
Nyokooo wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi hao?Wameshinda 6 Lkn Hawana Furaha..!
Sema kweliiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja muone mkifuzu nile ban msimu mzima wa LIGI YA MABINGWA.
Hii comment game ilikuwa dakika ya ngapi?Gooool, Aziz K. ila, nimetazama sana mechi za Yanga, naona kama kila wanavyoenda mbele wanazidi kushuka, ni kama wameanza kuamini wao ni wakubwa mno ilihali waendapo ni kugumu zaidi ya walipotoka, walipotoka hakuna mpinzani aliyewatilia maanani sana tofauti na sasa CBE inakaza.
Kuna boti zinaondoka baada ya saa moja na nusu lijalo tunasepa nazo. Kwanini tulaleHawana pa Kulala. Guest bei ya chini 60,000/=π
Alisikika mlevi wa kangara akipayuka na kujamber jamberMusonda na pacome wanatakiwa kutrain na kutumia akili zaidi kuliko nguvu. ama la, muda si mrefu watakosa namba.
Ndio nishasema na nikishasema nimesema.Sema kweliiii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu sema neno na nafsi itapona....Poleee wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mashindano ya wanawakeSoka Week end hii Lenye mvuto ni hapo Kesho Lupaso.....!
Wewe ulikula 5 usiongee kitu na ukaja ukala kimoja leta Tena timu yako mbovu hiyoBomu monchwari kipindi cha covid
Kabisa kaka Naunga mkono hojaTumewapiga na kitu kizito sana
Umeongea vizuri bila kuihusisha mahaba ya klabu unayoipenda,huwa napenda kuzungumza uhalisi hasa nikiwa kijiweni ninapobadilishana mawazo na wengine.Nashindwa kusema hii CBE ni mbovu au hao Yanga ni bora.
Kwa jinsi Simba tulivyowahi kupigwa tano na Yanga, nabakia kusema soka ni mchezo wa kikatili mnoo.
ni ruksa kujipa moyoWameshinda 6 Lkn Hawana Furaha..!
goli la pili la mapema ndo lililowatoa kwenye plan yao wakaona liwalo na liweBora CBE Wangeendelea kupaki bus