Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #21
HahahaHuyu mtoto Msheri mbaya kweli kweli ameshampiga misumari ya kutosha Alhaj wa watu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHuyu mtoto Msheri mbaya kweli kweli ameshampiga misumari ya kutosha Alhaj wa watu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wanakula 5
Sio kasi,Yanga wameanza kwa kasi kubwa
MarekebishoMchezo umeanza hapa kwenye Uwanja wa Mkapa.
Vikosi vya timu zote vinaingia uwanjani muda huu
Ngoma inapigwa leo Jumamosi Septemba 10, 2022 na inatarajiwa kuanza saa 10:00 Jioni kwa Tanzania.
Kikosi cha Yanga kuelekea mchezo huu, tayari timu zipo uwanjani kwa ajili ya kupasha misuli.
Salaam kwenu;
Timu mbili za Kariakoo zitashuka dimbani katika mechi tofauti za kufuzu CAF Champions League.
Yanga watawakaribisha Zalan katika dimba la Mkapa.
Big Bullets watawakaribisha Simba huko nchini Malawi.
Mechi zote kupigwa Saa 10:00 alasiri kwa saa za hapa nyumbani
Mechi zote zitakuwa live kupitia Azam Sports 1&2
Karibu hapa kwa live updates za mechi zote mbili...
NotedMarekebisho
Big bullets na simba ipo kwenye Azam sports 3 sio 2
Lakini lazma tuwape credit YangaSio kasi,
Zalan hamna team hapa
Wewe ni muungwana sana.Hawa zolan mtani atajipigia tu, aanze kujiandaa na st George vs al hilal ni aheri apite st George ila yule hilal namuhofia..
Natamani tz kwa mara ya kwanza tupeleke timu 2 makundi champions league
Na kule chini azam nae afike makundi
Itapendeza saana
Zaidi ya 5
Au zaidi ya hizo
Hahaha watu mna manenoUchaguzi wa jezi nao una impact katika kupata matokeo ya haraka
Hii jezi ya Gaidi Hamza hainaga baraka kwa Yanga, hii ndio iliwàfanya Azam wawatoe jasho
Azam hawanaga linklink