Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #61
Ukiacha kukimbia, hajui kupiga krosi zenye machoMoloko yupo sawa Ambundo amezingua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiacha kukimbia, hajui kupiga krosi zenye machoMoloko yupo sawa Ambundo amezingua
WatazikumbukaYanga inaonekana wanakosa nafasi nyingi za wazi
Kama Ahmada wa AzamHuyu Golikipa Majok Majok wa Zalan Fc nae mtu
Huyu Golikipa Majok Majok wa Zalan Fc nae mtu
🤣🤣Kama Ahmada wa Azam
Walivyo waoga na uzi wenyewe wameuacha, kuwaona hapa mpaka washindeWatazikumbuka
Hawana uhakikaWalivyo waoga na uzi wenyewe wameuacha, kuwaona hapa mpaka washinde
Najiulizaga sijui wanaambizanaga kwamba tusitokee kwenye uzi mpaka tutapoona tumeshinda?
Tulia wewe.Walivyo waoga na uzi wenyewe wameuacha, kuwaona hapa mpaka washinde
Najiulizaga sijui wanaambizanaga kwamba tusitokee kwenye uzi mpaka tutapoona tumeshinda?
BenchiNabi yupo bench au jukwaani?
Uzi wameususa kuwaona hapa ni mpaka wapate goli.Walivyo waoga na uzi wenyewe wameuacha, kuwaona hapa mpaka washinde
Najiulizaga sijui wanaambizanaga kwamba tusitokee kwenye uzi mpaka tutapoona tumeshinda?
Hao caf wenyewe wangepagawa.Wewe ni muungwana sana.
Tena ingependeza kwenye nusu fainali simba na yanga wakipige kabisa
Hili pia nami nilitaka kulijuaNabi yupo bench au jukwaani?
Kwa hiyo zile zilikuwa porojo tu au kapata approval?Benchi
Mbona nasikia makelele ya kufa mtu banda umiza...
Moses Phiri keshakiwasha huko kwa wanyasa.Mbona nasikia makelele ya kufa mtu banda umiza...
Hata jukwaani hayupo. Tuliwaambia Hana sifa wakajidanya wajuaji.Nabi yupo bench au jukwaani?