Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa..watani wakimbwela hapa sijui Mungu awape nnAu zaidi ya hizo
Sawa.Au zaidi ya hizo
Yaani mpaka sasa hawana hata goliKabisa..watani wakimbwela hapa sijui Mungu awape nn
Nimeambiwa Msheri keshaanza kumgonga misumari ndo maana anatoboka tu.benchi la ufundi wameona wampe kigoda nje akae kwanza.Mdaka mishale yupo wapi?au kocha kashtuka
Watakula 10Hawa zalan ukitoa kipa hakuna wachezaji
Wote tunapaswa kuwa na spirit kama hiiHawa zolan mtani atajipigia tu, aanze kujiandaa na st George vs al hilal ni aheri apite st George ila yule hilal namuhofia..
Natamani tz kwa mara ya kwanza tupeleke timu 2 makundi champions league
Na kule chini azam nae afike makundi
Itapendeza saana
Yanga inaonekana wanakosa nafasi nyingi za waziYanga hawana umakini kabisa
Wakikomaa vizuri eneo la mbele mbona Uto wanamaliza mechi mapema tena kwa magoli mengiUtopolo mnatuaibisha
Moloko yupo sawa Ambundo amezinguaAmbundo na Moloko wanachelewesha ushindi wa Yanga