Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #101
Feitoto awe anatoa na pasi kwa wenzake sio kila mpira abutue/ kupiga mashuti yasiyolenga lango
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mkuu kisheria iko hivyo ila hiyo ina advantage sana kwa Simba ukizingatia yuko away na pia kulingana na mechi ya mwisho walipata goli mapema ila hawakucheza katika kiwango, kiasi cha kufanya mashabiki tusiwe na matumaini saana kwenye michuani hii mikubwaImeshinda au imeongoza? Matokeo yakibaki kama yalivyo ndio kushinda
Shabiki oya oyaSawa Mkuu kisheria iko hivyo ila hiyo ina advantage sana kwa Simba ukizingatia yuko away na pia kulingana na mechi ya mwisho walipata goli mapema ila hawakucheza katika kiwango, kiasi cha kufanya mashabiki tusiwe na matumaini saana kwenye michuani hii mikubwa
Lakini leo hii kusikia wanacheza kwa kujituma halafu wamepata na goli la kuongoza, inatia moyo sana
Anataka ustaa kwenye mechi muhimu?Feitoto awe anatoa na pasi kwa wenzake sio kila mpira abutue/ kupiga mashuti yasiyolenga lango
Hahahaha ngoja kipindi cha pili watakuja na mbinu mbadalaMbona Kama ni zalan A vs zalan B
Nani kafunga?Goooooooooooooooooal
Moses Phiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nani kafunga?
Sawa.Okay tuyaache hayo tufokasi kwenye mpira
Uto bila uchawi ni laini kama kende
Mzoeeni, htMoloko analipwaje hela nyingi lwa performance mbovu kama hii
We unazingua, mi naulizia mechi ya YangaMoses Phiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona naskia wamefunga?Uto bila uchawi ni laini kama kende