FT: Zalan 0-4 Yanga | CAF Champions League | Uwanja wa Mkapa | 10-09-2022

Marekebisho

Big bullets na simba ipo kwenye Azam sports 3 sio 2
 
Mishale ni victim wa ubovu wa mabeki na eneo la kati la Utopolo
 
Wewe ni muungwana sana.
Tena ingependeza kwenye nusu fainali simba na yanga wakipige kabisa
 
Uchaguzi wa jezi nao una impact katika kupata matokeo ya haraka

Hii jezi ya Gaidi Hamza hainaga baraka kwa Yanga, hii ndio iliwàfanya Azam wawatoe jasho
 
Uchaguzi wa jezi nao una impact katika kupata matokeo ya haraka

Hii jezi ya Gaidi Hamza hainaga baraka kwa Yanga, hii ndio iliwàfanya Azam wawatoe jasho
Hahaha watu mna maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…