BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Wewe ni zaidi Mgunda🤣🤣🤣Kocha Nabi ikikupendeza mtoe Ambundo halafu nafasi yake aingie Herritier Nakambo ili timu itengeneze nafasi nyingi zaidi za kufunga.
Line 1 amezingua! Goli la Mayele lilikuwa ni goli halali kabisa.
Na hiyo saa 5 ni airport, kufika mpaka hotelini saa 7, mpaka wamekula saa 9.hawa Zalan wamefika jana saa tano,leo hii wapo uwanjani awana cha kuzoea mazingira wala kufanya mazoezi.
Kinachowaangusha zalan ni uchovu maana wamefika jana usiku saa 6 na leo wanakipiga ila wana team nzuri sana wale jamaa mechi ya pili itakuwa wameshapoa na uchovu hapo ndo kutakuwa na mpira.Inaonekana zalani A wamewaheshimu tu Zalan B ila wakifunguka wale wnapata goal
Uwongo unakusaidia nini? Ila ni kawaida ya washabiki wa timu isiyokuwa na kombe lolote kuwa waongo waongoWamefika jana saa 5 na wapo 11 tu nje hakuna substitution na watu jasho linawatoka.
Achana na hao single mothers, mechi nyepesi hiyo mnakwama wapi nyie viande?Single mothers wamekuja kupiga mayowe yao humu kama vile wao hawana mechi
🤣🤣🤣🤣Hivi hawa ni zalan au madrid
Walipata wapi ni feisal tu aliamua kuwasaidia ila yanga kimataifa mwisho ni zanzibar tuAnataka ustaa kwenye mechi muhimu?
Yanga waondokane na hiyo dhana, nakumbuka hata kwenye mechi ya Azam kipimdi cha kwanza walikuwa wana spirit hiyo.
Alianza Azizi ki, yuko katika eneo la kati sehemu ya kutoa pasi ye kafumua shuti la mbali mpira ukatoka nje ikawa goal kick
Akafuata Mayele naye hivyo hivyo mpira ukaenda nje
Akaja Nkane naye hivyo hivyo
Kipindi cha pili walikuja kusawazisha makosa yao na zile tamaa zao wakaziacha na kweli matokeo wakapata
Kushinda mtashinda ila hatukutegemea wafike umbali huu bila kutangulwa hata goli mojaWatafungwa, ni swala la muda tu
Wanachofanya Zalan ni kuchelewesha tu
Yani hata kwa hawa vibonde mnataka tuwape attention? Nyinyi shindeni kivyenu [emoji1].Baada ya mechi kuisha utasikia maneno yao... Oooh bahasha za gsm zimetembea huko vyumban
Sasa mlikuwa mnakwama wapi muda wote?Mayeeeeeeeeele
Gooooooooooooal
Nitarudi....Kipindi cha pili Yanga inafunga 3 wasipofunga niite mbwa nimekaa paaaaale