Ephen kamwacha mwashambwa kisa hajui kiingereza anadhambi sana huyo mtoto, mwenzie anaongea kiha binti kaona usinitanie weweNgoja tuone kama ephen_ atamshtua makhabhuba wake Lucas Mwashambwa aje watu wabubujikwe na machozi.😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ephen kamwacha mwashambwa kisa hajui kiingereza anadhambi sana huyo mtoto, mwenzie anaongea kiha binti kaona usinitanie weweNgoja tuone kama ephen_ atamshtua makhabhuba wake Lucas Mwashambwa aje watu wabubujikwe na machozi.😅
Hivi watoto wako wanajua kuwa Wana mzazi mpuuzi?!Taifa stars ukandwe hata gori 3 ili huyo mla ulojo Moloko atupishe ...... Zee la nongwa. Takataka waheed.
Aisee!KIpa hakuwa na mchango wowote leo? Mimi sijakuwa karibu na tv lkn nimefuatilia maoni ya watu humu.
Kipa Ally Salum alikuwa man of the match, alipambana mno, kongole sana kwakeKIpa hakuwa na mchango wowote leo? Mimi sijakuwa karibu na tv lkn nimefuatilia maoni ya watu humu.
Argentina ipi unayoizungumzia?Kwa taifa hii tupewe mapema tu kombe la dunia tunawataka Argentina hata kesho🔥🔥🔥
Mtegemee allah naye atakuruzuku pepo,epuka kiama kwa kutenda hizi shirkDo you think it's possible to find a balance where you can still practice your faith while also engaging in other activities or interests?
Na ndio maana mmefungwaMimi huwa si shabiki wa Taifa Stars. Bahati mbaya pia nina damu toka Zambia acha niwe huko leo.
Chipolopolo 🫶💪
@wee ndugu yangu Vincenzo Jr wa kuniambia hivi dada yako? Sawa 😊😊😊😊 ila jana tumekandwa kimoja 😀😀😀Na ndio maana mmefungwa
Polee sana 😂😁 dada yangu 😂😁 ila na nyie naona mkija taifa mtatufunga tu 😂@wee ndugu yangu Vincenzo Jr wa kuniambia hivi dada yako? Sawa 😊😊😊😊 ila jana tumekandwa kimoja 😀😀😀
Sasa hivi hatuongei kitu, mpaka tukutane na machifu wetu, watuambie tulipokosea 🤣🤣🤣🤣Polee sana 😂😁 dada yangu 😂😁 ila na nyie naona mkija taifa mtatufunga tu 😂
😁😂😁😂😂😎Poleni sanaSasa hivi hatuongei kitu, mpaka tukutane na machifu wetu, watuambie tulipokosea 🤣🤣🤣🤣
Daah nimechungulia mpira kuanzia dakika ya 75 hata sikua online. Hope ulii enjoy gameSouthern Highland njoo tucheck Ball nilimiss kua na shamrashamra za mechi
SikufuatiliaDaah nimechungulia mpira kuanzia dakika ya 75 hata sikua online. Hope ulii enjoy game
Kwa nini sasa?Sikufuatilia
Nilikua busy, nilikua nachungulia humuKwa nini sasa?
Ooih sawa. Wakati mwingine tutafurahi tuNilikua busy, nilikua nachungulia humu