dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
China kapaisha Penati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkwara wao tangu juzi ndo unanipa matumaini, itakua Ni aibu sana kurudisha vikosi beijing na zile mbwewe zao zote[emoji16]Ila mkuu una moyo na wachina na bado hutoamini mpaka kukuche uone kaondoka salama huenda ndo utaamini kuwa kweli mchina ni mandonga tu.
Hii ni international forum comred,ukitaka ya Tanzania yapo majukwaa mengi tu,Unashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?
Rais wa China🇨🇳 ana akili na busara sanaNadhani ule ubishi wa nani ni mbabe wa dunia leo hii umepata jibu RASMI Wakati waRussia wa Ikwiriri wakipewa dozi na kanchi kadogo ka Ukrane, China imeufyata fyuuuu na Poles kutua bila fyoko fyoko yoyote *****.
[emoji16][emoji16] wameona bibi umri ushaenda hata wakimShinzo Abe hamna shida
Ha ha ha.....Mwanaume ni Russia, Iran, NK. China nishamtoa kwenye list. Huu ufedhuli hata Kenya asingekubali asee.
Hamna busara yoyote pale, Ujinga mtupuRais wa China[emoji630] ana akili na busara sana
duh na akili zako zoooote uliamini china wana ubavu wa kumzuia Nancy? pole yako ndo ujue nini maana ya US kuitwa super power vitendo vinaongea na sio manenoChina wameniangusha aisee.
USA sio wanyonge hvyo. Intellijensia ilishafanya kazi miaka kadhaa kabla ya trip. Ondoa shaka ni yeye mkuuHiyo barakoa na hiki kigiza
Ni double wake uyo,
Nakuhakikishia hawezi kua pelosi[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana...[emoji16][emoji16] wameona bibi umri ushaenda hata wakimShinzo Abe hamna shida
Sema wamarekani sio wa kuwaamini sana unaweza kuta huyo sio Pelosi mwenyewe[emoji2][emoji2]Kama kavaa barakoa, afu Ni usiku
Ujue tumepigwa, Ni double wake uyo.
Michezo ya CIA hiyo[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anga la Taiwan lipo chini ya US 3week before,mchina kaja kushtuka juzi tu 🤣Mkwara wao tangu juzi ndo unanipa matumaini, itakua Ni aibu sana kurudisha vikosi beijing na zile mbwewe zao zote[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
China lazima Afyate mkia kwasababu kakaye Russia anayemtegemea anachezea za uso kwann China asiwe mpole?China kapaisha Penati
Ipo live Mbona vyombo vyoteJf kiboko, hi issue mbona vyombo vikubwa kama CNN, BBC, AlJAZEERA sioni wakiipa airtime kiivyo
I think equation haijabalance.Nachoamini china kuna hesabu anapiga
Sasa hapo inataka ujasiri gani?Zungumzia mtu anaingia kwny karo la mavi anazibua hakuna Cha safety measures yoyote Ile iliyochukuliwa na analipwa buku 10 tuKitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
Hoja kubwa siyo mzuri, huyu mama mtata na ana roho ngumu kupita maelezo. Aliwahi kuchana hotuba ya Trump(akiwa rais) tena mbele yake.
embu weka picha mkuuNdege vita za taiwan zashambulia kuelekea upande wa China kama Onyo