Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Ha ha ha.....
China katudhihirishia kua hata kijeshi kumbe Ni feki feki TU[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee hii ni issue kubwa vyombo vingi vya habari vinarusha hii habari live. Muda nipo naangalia Al-Jazeera hapaa wanarusha LIVE!Jf kiboko, hi issue mbona vyombo vikubwa kama CNN, BBC, AlJAZEERA sioni wakiipa airtime kiivyo
😂😂😂Mwanaume ni Russia, Iran, NK. China nishamtoa kwenye list. Huu ufedhuli hata Kenya asingekubali asee.
Karibia anakufa keshazeeka huyo....papuchi yake ilishamaliza mileage tofauti na mm bado Nina malengo yangu huenda sijawahi panda ndege ila pia hip nafasi ya huyo ajuza nisingekubali kukwea Hilo pipaKitu ambacho naona watu hawakizungumzii ni ujasiri wa Nancy Pelosi, yaani pamoja na kuwa marine na air defence systems ziko standby kwa attack, bibie kakwea pipa bila hofu!! Interesting...
duh na akili zako zoooote uliamini china wana ubavu wa kumzuia Nancy? pole yako ndo ujue nini maana ya US kuitwa super power vitendo vinaongea na sio manenoChina akiacha hili lipite nita wadharau sana
Propaganda yeye ndo anaongoza duniani akiwa na rafiki yake UK.Zile zilikua propaganda tu,ukiwa muoga kweli huendi ila kwa kua US ni mbabe na hizo anajua propaganda zinavochezwa haogopi
Hakuzipiga kabla ya mama kutua Taiwan?Nachoamini china kuna hesabu anapiga
HahahahaChina kapaisha Penati
Mkuu hizi fake news unazitoa wapi?! Hakuna Bomu wala jiwe lililorushwa watu tupo LIVE hapa tunafatilia kwa karibuMchina uko kapiga alarm za hatari,
Watu wake wakao mkao wa vita-jimbo la fujian lililotazamana na taiwan walikomimina vikosi vyao vya kijeshi leo
Ngoja tuone [emoji16]
View attachment 2312176
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wachache tu ndio watakuelewa.Rais wa China[emoji630] ana akili na busara sana
Wanasubiri maelekezo,Jf kiboko, hi issue mbona vyombo vikubwa kama CNN, BBC, AlJAZEERA sioni wakiipa airtime kiivyo
Ili kupunguza aibu alipue hata baruti majini humo auwe hata samaki ndio arudishe hayo machuma yake.Mkwara wao tangu juzi ndo unanipa matumaini, itakua Ni aibu sana kurudisha vikosi beijing na zile mbwewe zao zote[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dume juu ya hicho kilisti chako ni US na leo umejionea kwa macho yako!Mwanaume ni Russia, Iran, NK. China nishamtoa kwenye list. Huu ufedhuli hata Kenya asingekubali asee.
Tunaichukia tu marekani aisee lakini ile nchi kijeshii ni habari nyingineeMwanaume ni Russia, Iran, NK. China nishamtoa kwenye list. Huu ufedhuli hata Kenya asingekubali asee.